Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Si muajiriwa wa wasafi huyo!!? Hapo ndo msemo wa waja unapotimia wanasema pale njaa sana ila ujanja wako tu unaweza kukusaidia. Vanny boy nae alipanga ghorofa kodi awamu moja tu ikamshinda
Iyobo mpaka kala mtoso kwa aunt,pesa tatizo
Lukamba choka mbaya mke anamsaidia napo zipu mbovu
Iyobo mpaka kala mtoso kwa aunt,pesa tatizo
Lukamba choka mbaya mke anamsaidia napo zipu mbovu
Queen tangu kodi imshinde kawa mpole vijembe kwa mke mkubwa vimeisha, hela tu ya diapers za mtoto Hana, according to shilawadu