Queen Darleen ahama kwenye nyumba ya Mbezi Beach arudi kwao Sinza

Queen Darleen ahama kwenye nyumba ya Mbezi Beach arudi kwao Sinza

si nilisikia wale ni wahindi hivyo basi haishangazi kurudi kwao na kuishi pamoja.
asma khan devgan
abdul nasib khan kajol
DJ khan pretty zintah
mama mdebwedo khan uzee mwisho kwa amrish purrrr
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaka ake na umillinare wote huo anashindwa kumlipia dada ake kodi Jaman ? Sasa kufanya 40 ya kifahari yote ile na kumbe kodi anadaiwa ya nini ? .

Kupitia insta Live, Queen darleen ka confirm kurudi kwao na kasema kuwa hawez kuaibika mjini kwa kuwa Mama yake alimuachia nyumba Sinza hvyo kaamua kurudi kwao kutoka mbezi beach alikokua anakaa kwenye ghorofa ambapo ni Karibu na kwa kaka yake Diamond .

Mmh mji mzito huuView attachment 1646306
Chako ni chako tu, hata kama ni porini. Smart move 👏👏👏
 
Umevamua jukwaa jombaa, ukitaka mambo ya uchumi wa kati nenda jukwaa la siasa.

Huku wenzio tunakujaga kuondowa stress tu, huwezi kuvaa suti beach bana.

Huyu usimweleze wanatuletea maadili ya kanisani kwenye jukwaa letu halafu ukiangalia kajiunga jf juzi hapo wakati wakongwe tunajua binam tunaenda nae vipi
 
Sawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?

Mzee wangu kafungue chuo cha biblia kabisa, maana wewe na maadili ni damdam, tuachie binam yetu sisi tunaomuelewa tutasonga nae hivo hivo
 
Back
Top Bottom