Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mvua ina ubaguzi sana, maji yanajaa kwao tu nyie kwenu wala??Sio kweli my dear hiii story ni ya uongo hajarudi kwao atakua yupo hukohuko au amepanga mhl pengine ila kwao sinza 100% sure haishi hapa mm ninapokaaaa na hyo nyumba ya mama ake tunashea ukuta tungemuona ata akienda dukani bc km ckwenda dukani tungeckia ata mtt akilia
Na hawezi kuishi apo hyo nyumba ina matatizo ya kujaaa maji kipindi cha mvua ata ikinyesha mvua ya 5 hrs panajaaaa maji kwa status yake hawezi kukaaaa apo !!!
Mkuu nachosikia sikia ni kuwa jamaa anawasapoti ndugu zake kama mambo za nyumba ila ni kwa kiwango cha kukaa maeneo ya kawaida tu ila sasa wao na umaharufu wao ndio wanafosi kukaa huko mbezi beach ambako ndugu yao anashindwa kuwasuport because that is due to their own fame.Aisee kinacho sikitisha zaidi ni kuona wanafanya sherehe za gharama na kusahau vitu vya msingi kama nyumba na Diamond angelikuwa na akili zaidi haikutakiwa hata siku moja ndugu yake au mtu wake wa karibu kudharirika kisa kodi au nyumba. kama kuna zawadi angewapa hawa ndugu zake wa karibu basi ni nyumba si kingine na biashara za msingi kuwafanya waishi sio kuwaletea macamera na masherehe ya gharama yasiyo wasaidia,
ni aibu sana
Halafu wanamtweka Chibu lawamaSiku hizi mtu analaumiwa hata kwa uamuzi binafsi wa maisha yake!
Shigongo kawa tajiri hadi mbunge kwa kuandika gossip...utakuwa una stress ...Sawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?
Endelea kuhangaika na maisha ya watu badala ya kupambana na yako........eti unategemea kuwa tajiri....akili za kizezeta sana hiziShigongo kawa tajiri hadi mbunge kwa kuandika gossip...utakuwa una stress ...
vyuma vimekaza hatariiUamuzi binafsi ulikua ni kukaa kwenye ghorofa mbezi beach , ila account ikawa hairuhusu ikabdi arudi tu kwao Sinza , upo nyonyo