Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 2,012
- 5,571
Queen Darleen,
Nadhani kama wanawake wa Kiislam walikuwa hawajawahi jua ugumu wa uke wenza sasa wanajionea dhahiri kupitia wewe.
Queen, kuwa na huruma we mama (maana hata sio dada, enzi niko darasa la 1 ulishashirikishwa wimbo na Mad Max)
Queen, huyo kijana ana mke mwingine usisahau. Wewe kila sentensi ina neno “Mume Wangu” huko Instagram. Utasema amekutoa bikra jamani.
Queen nasikia uliolewa kwa sababu Bi. mkubwa hajajaaliwa watoto. Basi mheshimu kidogo. Msiwe marafiki ila atleast jaribu kujiweka in her shoes. Sawa umesubiri sana kuolewa na huamini ila punguza kumlambisha ndimu mwenzio.
Sasa hapa chini ungempa na hongera mke mwenzio ingekuwaje kwani? Halafu kwenda kwenye post ya anniversary ya mwenzio na kuandika mambo ya Mme wangu inahusu?
Nadhani kama wanawake wa Kiislam walikuwa hawajawahi jua ugumu wa uke wenza sasa wanajionea dhahiri kupitia wewe.
Queen, kuwa na huruma we mama (maana hata sio dada, enzi niko darasa la 1 ulishashirikishwa wimbo na Mad Max)
Queen, huyo kijana ana mke mwingine usisahau. Wewe kila sentensi ina neno “Mume Wangu” huko Instagram. Utasema amekutoa bikra jamani.
Queen nasikia uliolewa kwa sababu Bi. mkubwa hajajaaliwa watoto. Basi mheshimu kidogo. Msiwe marafiki ila atleast jaribu kujiweka in her shoes. Sawa umesubiri sana kuolewa na huamini ila punguza kumlambisha ndimu mwenzio.
Sasa hapa chini ungempa na hongera mke mwenzio ingekuwaje kwani? Halafu kwenda kwenye post ya anniversary ya mwenzio na kuandika mambo ya Mme wangu inahusu?