Queen Darleen hebu mhurumie mke mwenzio; naye ana moyo

Queen Darleen hebu mhurumie mke mwenzio; naye ana moyo

Queen Darleen,

View attachment 1453141

Nadhani kama wanawake wa Kiislam walikuwa hawajawahi jua ugumu wa uke wenza sasa wanajionea dhahiri kupitia wewe.

Queen, kuwa na huruma we mama (maana hata sio dada, enzi niko darasa la 1 ulishashirikishwa wimbo na Mad Max)

Queen, huyo kijana ana mke mwingine usisahau. Wewe kila sentensi ina neno “Mume Wangu” huko Instagram. Utasema amekutoa bikra jamani.

Queen nasikia uliolewa kwa sababu Bi. mkubwa hajajaaliwa watoto. Basi mheshimu kidogo. Msiwe marafiki ila atleast jaribu kujiweka in her shoes. Sawa umesubiri sana kuolewa na huamini ila punguza kumlambisha ndimu mwenzio.

Sasa hapa chini ungempa na hongera mke mwenzio ingekuwaje kwani? Halafu kwenda kwenye post ya anniversary ya mwenzio na kuandika mambo ya Mme wangu inahusu?

View attachment 1453134
Sema mke mkubwa chombooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo jamaa nae kwenda kuparamia lishankupe kama hilo ndiyo nin sasa?
 
[SUP]Kwa upuuzi anaofanya huyu bidada mke mkubwa mstaarabu Sana.[/SUP]
 
Mimi mwanaume akiniolea mke mwenzangu.naaga naondoka kwa kweli.
Moyo huo wa uvumilifu huwa sina kabisa
Usimalize maneno yote dada dunia hii,
Unaweza kuolewa ndoa ya kwanza na mume bahati mbaya akafariki, unashangaa kila anayekuja anataka ndoa ya pili, sasa hapo ww ndie utayekua unataka ndoa, je mke wa kwanza akisema maneno hayo unayosema utapata stara?
Hatuombei ila usimalize maneno yote
 
Queen Darleen,

View attachment 1453141

Nadhani kama wanawake wa Kiislam walikuwa hawajawahi jua ugumu wa uke wenza sasa wanajionea dhahiri kupitia wewe.

Queen, kuwa na huruma we mama (maana hata sio dada, enzi niko darasa la 1 ulishashirikishwa wimbo na Mad Max)

Queen, huyo kijana ana mke mwingine usisahau. Wewe kila sentensi ina neno “Mume Wangu” huko Instagram. Utasema amekutoa bikra jamani.

Queen nasikia uliolewa kwa sababu Bi. mkubwa hajajaaliwa watoto. Basi mheshimu kidogo. Msiwe marafiki ila atleast jaribu kujiweka in her shoes. Sawa umesubiri sana kuolewa na huamini ila punguza kumlambisha ndimu mwenzio.

Sasa hapa chini ungempa na hongera mke mwenzio ingekuwaje kwani? Halafu kwenda kwenye post ya anniversary ya mwenzio na kuandika mambo ya Mme wangu inahusu?

View attachment 1453134
Mrejesho
 
Back
Top Bottom