QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Huyu lege anazingua story imetolewa season 3 mpaka mwisho na ninayo kwa PDF
Ww jamaa kweli ni waajabu sana.sasa mm nakushangaa na wadau naomba mumushangae hata mm ninayo yote.so ww kinachokushinda nini kuiweka hapa unabaki unanilaumu na kulalamika mkuu.kwani mm nimesema story imetolewa nusu.
 
Ww jamaa kweli ni waajabu sana.sasa mm nakushangaa na wadau naomba mumushangae hata mm ninayo yote.so ww kinachokushinda nini kuiweka hapa unabaki unanilaumu na kulalamika mkuu.kwani mm nimesema story imetolewa nusu.
Achana nae LEGE wewe tupia mzingo kashasema hawezi muache ....samehe bure mkuu
 
Ww jamaa kweli ni waajabu sana.sasa mm nakushangaa na wadau naomba mumushangae hata mm ninayo yote.so ww kinachokushinda nini kuiweka hapa unabaki unanilaumu na kulalamika mkuu.kwani mm nimesema story imetolewa nusu.

Mkuu Usiwe Unamaliza Pumzi kuwajibu wapenda Sifa Pumzi zako bado Twazihitaji
 
Mkuu LEGE haina haja ya kujibizana nao. Nikupe wazo, usicoment ila baada ya kutuwekea zigo ili usihamshe hisia za baadhi yetu pindi mambo yanapoingiliana, na wala usiweke ahadi we ukipata mda weka tuu.
Pamoja sana
 
Tatizo Lege unazingua ukiweka maramoja hapo utasubiri watu walalamike wee ndio uweke tena ndio maana wanaongea maana umezidi swaga nawewe
 
unahitaji vitabu gani?? mkuu mm ninavyo vingi sana hasa vya kijasusi vya musiba karibia vyote na vingine mbali mbali lkn siuzi.ila ukitaka vya kununua nitakuelekeza
nahitaji kupata vitabu vya kijasusi hard copy and soft copy mr LEGE how could i get t please
 
Jamani ee akiweka kiroho safiii mnitagi nije kusoma barudia kiroho safi tuuu
 
Back
Top Bottom