Ww jamaa kweli ni waajabu sana.sasa mm nakushangaa na wadau naomba mumushangae hata mm ninayo yote.so ww kinachokushinda nini kuiweka hapa unabaki unanilaumu na kulalamika mkuu.kwani mm nimesema story imetolewa nusu.Huyu lege anazingua story imetolewa season 3 mpaka mwisho na ninayo kwa PDF
Achana nae LEGE wewe tupia mzingo kashasema hawezi muache ....samehe bure mkuuWw jamaa kweli ni waajabu sana.sasa mm nakushangaa na wadau naomba mumushangae hata mm ninayo yote.so ww kinachokushinda nini kuiweka hapa unabaki unanilaumu na kulalamika mkuu.kwani mm nimesema story imetolewa nusu.
That why mkuu ukatuwekea hapa coz siyo mchoyo.Ningetaka ningesoma mwenyewe kimya kimya
Ww jamaa kweli ni waajabu sana.sasa mm nakushangaa na wadau naomba mumushangae hata mm ninayo yote.so ww kinachokushinda nini kuiweka hapa unabaki unanilaumu na kulalamika mkuu.kwani mm nimesema story imetolewa nusu.
nahitaji kupata vitabu vya kijasusi hard copy and soft copy mr LEGE how could i get t pleaseunahitaji vitabu gani?? mkuu mm ninavyo vingi sana hasa vya kijasusi vya musiba karibia vyote na vingine mbali mbali lkn siuzi.ila ukitaka vya kununua nitakuelekeza
give m ur contacts mr LEGE f possiblenahitaji kupata vitabu vya kijasusi hard copy and soft copy mr LEGE how could i get t please
Kuna member nimemtumia humu aiweke sio mbaya