Kuna member nimemtumia humu aiweke sio mbaya
We mwenyewe huna tofauti na lege wote wazinguaji huyo mtu toka umpe atume hapa yuko wapi?? na wewe ulimtumia kwa njia gani hiyo hadi ushindwe kuia attach hapaKuna member nimemtumia humu aiweke sio mbaya
Mkuu wewe ni JEMBE tunakusubiri sana LEGE tynaomba usipigwe ban tutazimiaLeo nawaahidi kuweka mwendelezo wa season 3 jama mda utaruhusu mpaka mwisho kabisa.kama ssito weka modo mnipige BAN ya miezi mitatu.
Leo nawaahidi kuweka mwendelezo wa season 3 jama mda utaruhusu mpaka mwisho kabisa.kama ssito weka modo mnipige BAN ya miezi mitatu.
Usiseme hivyo mkuu.unakuwa unakosea sana ukisema hivyo.harafu ule mwendo wa peniela ulikuwa mzuri sana.now kwa kuwa wadau mwataka vyote kwa pupa haina shida naweka mwendelezo mwanzo mwisho harafu mapumziko yatakuwa marefuuuuuuu sana zaidi.We mwenyewe huna tofauti na lege wote wazinguaji huyo mtu toka umpe atume hapa yuko wapi?? na wewe ulimtumia kwa njia gani hiyo hadi ushindwe kuia attach hapa
Mkuu LEGE achana na watu wenye negative attitude....hawatakusaidia.Sisi tupo tunakusupport sana JEMBE.Usiseme hivyo mkuu.unakuwa unakosea sana ukisema hivyo.harafu ule mwendo wa peniela ulikuwa mzuri sana.now kwa kuwa wadau mwataka vyote kwa pupa haina shida naweka mwendelezo mwanzo mwisho harafu mapumziko yatakuwa marefuuuuuuu sana zaidi.
Mm nilikuwa nafanya vile ili kubalansi mambo.
Na mambo yanaweza kwenda mrama zaidi maana watu wamefika mpaka jikoni na kumtumia maneno mpishi na jinsi tunavyo faidi kwa bureee pishi lake
Usiseme hivyo mkuu.unakuwa unakosea sana ukisema hivyo.harafu ule mwendo wa peniela ulikuwa mzuri sana.now kwa kuwa wadau mwataka vyote kwa pupa haina shida naweka mwendelezo mwanzo mwisho harafu mapumziko yatakuwa marefuuuuuuu sana zaidi.
Mm nilikuwa nafanya vile ili kubalansi mambo.
Na mambo yanaweza kwenda mrama zaidi maana watu wamefika mpaka jikoni na kumtumia maneno mpishi na jinsi tunavyo faidi kwa bureee pishi lake
Mpaka kufikia saa 6 kamili nitaanza kuweka mwendelezo sababu kuna mambo nayamalizia n kuyaweka sawa hapa.ndii nianze kuweka mwendelezooo.najua mpak mida ya wanga mambo yatakuwa byeeeSwala la Ban halipo LEGE mkuu naomba sana sana usiongee hiyo issue
Duuh patupudaa saa sita lege?? kama vile tunasubiria mwaka mpya
ok poa sio mbaya