SawaTupo pamoja wakuu.sitaki kuahidi ni lini siku kamili lakini sio mda mambo yatakuwa hewani na huu ukimya au chelewa chelewa imesababishwa n baadhi ya wadau humu.ila msiwe n wasi hata iwe kwa kuchelewa vipi mzigo lazima nitauweka n.story lazima iishe
Pamoja sana subira ipo tena ya kiwango cha juu.Tupo pamoja wakuu.sitaki kuahidi ni lini siku kamili lakini sio mda mambo yatakuwa hewani na huu ukimya au chelewa chelewa imesababishwa n baadhi ya wadau humu.ila msiwe n wasi hata iwe kwa kuchelewa vipi mzigo lazima nitauweka n.story lazima iishe
Lege kwema Msalmie Queen MonicaHahahha haina shida mkuu.daa arost umetupoteza kabisaaa.
Usisahau kuni tang mkuuHahahaha mkuu kuna kitu kipyaaa wacha tumalize queen monica then nitakishusha na hicho
I want to read full story of Paniela where can I get the book?kaeni mkao wa kula story nyingine toka kwa mtunzi yule yule aliyetunga peniela now kaja na kitu kiitwacho queen monica. kutana na kijana AUSTIN JANUARY mtanashati na jasusi hatari anafanya mambo makubwa sana.
ALBERTOS kundi hatari linalotaka kuitawala dunia limeingia pia tanzania
Nasubiri mkuu[emoji144] [emoji144] [emoji144] Mungu akubarikiHahahaha mkuu kuna kitu kipyaaa wacha tumalize queen monica then nitakishusha na hicho
bora ya shetani unaemjua,kulikoni malaika usiemfahamu.....Hahahaha mkuu kuna kitu kipyaaa wacha tumalize queen monica then nitakishusha na hicho
OK poamkuu hakuna ratiba hapa nashusha mzigo mfululizo ratiba yako mwenyewe unapopata mda wa kuisoma tuu hivyo ratiba jipangie mwenyewe kila siku nitashusha mzigo wa maana. na hakuna kukwama kama ilivyotokea kwenye peniela
OK poamkuu hakuna ratiba hapa nashusha mzigo mfululizo ratiba yako mwenyewe unapopata mda wa kuisoma tuu hivyo ratiba jipangie mwenyewe kila siku nitashusha mzigo wa maana. na hakuna kukwama kama ilivyotokea kwenye peniela
Ngoja tusubiliHahahaha mkuu kuna kitu kipyaaa wacha tumalize queen monica then nitakishusha na hicho