QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Mzee wa fix hujawahi kusema ukweli minishakuacha yani nachunguliaga maramoja moja sitaki kujitesa
 
sawa lege pole sana
 
Karibu sana lege hujawahi kuniangushaa tunakusubiria mkuu
 
Naona lege na laptop alioazima imezingua pia,ushauri tu kwa bwana lege zama hizi unatakiwa straight sio kufanya watu wazima Kama watoto wadogo.ni hapa hatukujui kwa picha Ila ingekua inawekwa picha yako hapa hata ungepata tatizo njiani watu wangeona ni sound tu( muongo)
 
Kwenye peniela alikuwa smart sana kwenye hii kawa mswahili mno yan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…