QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Mzee wa fix hujawahi kusema ukweli minishakuacha yani nachunguliaga maramoja moja sitaki kujitesa
 
Wakuu naomba mnisamehe bulee na kibaya zaidi ni kuwa niliwaahidi lkn mbaya saidi ni kuwa laptop yangu ninayo itumia imekufa.kwanza ilianza kwa kusima baada ya mda ikawa inazidi kupunguza mda wa kujizima haikai sana inazima.mwishowe jana ndio imegoma kabisa kuwaka but baada ya kuhangaika nayo ikaonekana kuwa processor imekufa.so hapo nikawa sina ujanja na ndio sababu hiyo iliyonifanya nisiweke mwendelezo but all in all nimeazima now hapa laptop nataka nijitahidi niiweke season 4 yote maana najua wadau mnakiu sana ndio maana mizuka inawapanda na kumwaga lawama na kutoa kauli kaki msiwe na wasi tupo pamoja jf daima.

Burudani hapa ni free .
sawa lege pole sana
 
Naona lege na laptop alioazima imezingua pia,ushauri tu kwa bwana lege zama hizi unatakiwa straight sio kufanya watu wazima Kama watoto wadogo.ni hapa hatukujui kwa picha Ila ingekua inawekwa picha yako hapa hata ungepata tatizo njiani watu wangeona ni sound tu( muongo)
 
Kwenye peniela alikuwa smart sana kwenye hii kawa mswahili mno yan
 
Back
Top Bottom