QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Next tyme msifanye hizi mambo. Kama stori ni ya kulipia mseme kuanzia mwanzo wasio na uwezo wasihangaike nayo.Muweke tangazo mwanzoni mwa stori kuwa kuna kulipia kuliko hali hii ya kutesa watu. Binafsi nimeshaisoma ila natoa angalizo kwa stori zitakazofuata. Kama lengo ni kuitangaza nendeni fb au humu muiweke jukwaa la matangazo
 
Asante mkuu




Angalizo siyo kwamba hizo elfu 3000 hatuna plz km unajua unapost story harafu mwisho wa cku unataka watu walipie toa tarifa mwanzo wa story maana huu mchezo hufanyika fb ila huku week a upande wa matangazo .easy Sunday.
Kweli mkuu hicho ulichosema, maana ndugu zetu washatufanya bongo muvi
 
Next tyme msifanye hizi mambo. Kama stori ni ya kulipia mseme kuanzia mwanzo wasio na uwezo wasihangaike nayo.Muweke tangazo mwanzoni mwa stori kuwa kuna kulipia kuliko hali hii ya kutesa watu. Binafsi nimeshaisoma ila natoa angalizo kwa stori zitakazofuata. Kama lengo ni kuitangaza nendeni fb au humu muiweke jukwaa la matangazo
Sio kweli mkuu ukisemacho bali kujua kwingi mbele kiza..nishaweka peniela humu hakuna aliyelipia hata shilingi 5 lkn kwenye hii story ya queen monica watu wameleta ujuaji mwingi sana.mwishowe imekuwa shida nilikuwa naweka angalizo mara nyingi kuwa wakienda jikoni wasiseme mambo ya huku jf kuwa ipo.

Mwishowe haya ndio matokeo yake.wanajiona kama wajanja lkn ndio wametuharibia.
 
Sio kweli mkuu ukisemacho bali kujua kwingi mbele kiza..nishaweka peniela humu hakuna aliyelipia hata shilingi 5 lkn kwenye hii story ya queen monica watu wameleta ujuaji mwingi sana.mwishowe imekuwa shida nilikuwa naweka angalizo mara nyingi kuwa wakienda jikoni wasiseme mambo ya huku jf kuwa ipo.

Mwishowe haya ndio matokeo yake.wanajiona kama wajanja lkn ndio wametuharibia.
Kwahiyo ndo mwisho hapo hadi tulipie??
Sio kweli mkuu ukisemacho bali kujua kwingi mbele kiza..nishaweka peniela humu hakuna aliyelipia hata shilingi 5 lkn kwenye hii story ya queen monica watu wameleta ujuaji mwingi sana.mwishowe imekuwa shida nilikuwa naweka angalizo mara nyingi kuwa wakienda jikoni wasiseme mambo ya huku jf kuwa ipo.

Mwishowe haya ndio matokeo yake.wanajiona kama wajanja lkn ndio wametuharibia.
Kwahiyo ndo mwisho hapo hadi tulipie??
 
Haya Mida ndo hii lete vitu
Umeonaeee!!! Jombaaa....wabongo atufanani......Lege aliitwa kila aina ya majina pale alipochelewesha story.....lkn nashukuru akupaniki wala kujibu jibu baya....ila kumbukeni lege akua mbinafs ata kdg........sawa wote tunapaswa kuchangia watunzi wetu ili watoke atua moja kwenda nyingine......ila majibu mnayotupa tukiwaambia tumeni story humu ndani ndio kwanza mnatuma namba ya mtunzi tumchangie......ndio mana atuendelei wabongo tumezidi ila.
Mijitu inaringa sanaa,,,sdhan ata lege angekuwa anaringa toka mwanzo kama wew unavoringa sjui atakama ungejua kuna stry inayoitwa queen monica,,,,upumbaf mtupuuu

Sio kweli mkuu ukisemacho bali kujua kwingi mbele kiza..nishaweka peniela humu hakuna aliyelipia hata shilingi 5 lkn kwenye hii story ya queen monica watu wameleta ujuaji mwingi sana.mwishowe imekuwa shida nilikuwa naweka angalizo mara nyingi kuwa wakienda jikoni wasiseme mambo ya huku jf kuwa ipo.

Mwishowe haya ndio matokeo yake.wanajiona kama wajanja lkn ndio wametuharibia.

Mijitu inaringa sanaa,,,sdhan ata lege angekuwa anaringa toka mwanzo kama wew unavoringa sjui atakama ungejua kuna stry inayoitwa queen monica,,,,upumbaf mtupuuu
 
Sio kweli mkuu ukisemacho bali kujua kwingi mbele kiza..nishaweka peniela humu hakuna aliyelipia hata shilingi 5 lkn kwenye hii story ya queen monica watu wameleta ujuaji mwingi sana.mwishowe imekuwa shida nilikuwa naweka angalizo mara nyingi kuwa wakienda jikoni wasiseme mambo ya huku jf kuwa ipo.

Mwishowe haya ndio matokeo yake.wanajiona kama wajanja lkn ndio wametuharibia.
Pamoja sana kiongozi
 
mkuu LEGE naomba uimalizie hii story achana na hao vimbelembele sio kwamba tunashindwa kulipa hiyo hela ila tunapenda tusome humu ili tuwe tunafurahi na wengine
 
upload_2017-7-9_14-18-41.png

Ni tamu hiyo.
 
Tumuunge mkono mtunzi jamani!

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom