Atakuwa mama Monicamaskini dr Marcelo sijui anaetaka kumuua n Daniel
mama monica sidhani toka amepata fahamu yule mama hajaendaAtakuwa mama Monica
Yap..mama monica sidhani toka amepata fahamu yule mama hajaenda
ngoja tusubili haya mambo ni makubwaYap..
Mama Monica aliiba file. Lakini kutaka kumuua anaweza akawa yule mwenye no alietakiwa amuelekeze jinsi ya kusoma kile kitabu. Yeye ndie anaejua uwepo wa hicho kitabu na thamani yake
Hahaha nilishtukaNapita na hii njia bora tu uliondoka maana ungekesha kizobazoba
Monica ana bonge la mtihaningoja tuone atakachokifanya monica kwenda congo kwa zumo au kubaki na marcelo..?.. kazi inaanza austin anakuja....kwa kazi maalumu....
NgashtukaHahaha nilishtuka
hiyo hadithi muibebe kama ilivyo kisha mumpelekee director JAMES CAMERON(au bollywood directors) aisome....akupeni na gharama za utengenezaji....ndio mfanye...Legeee I i wish nikutafute tutengenze movie au series ya hii story.