QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Lege usipowek leo nakushtakia kwa wachawi na walozi wote wakiongozwa na Mshana jr wakutoe busha tu maana hamna namna sasa. Ntapita hapa saa mbili usiku kama bado naita kamati yangu
hahahhhh
Hah haha
Hawakujui ukisema si mda una maanisha nini
Wee endelea mkuu ntaendelea kuwatuliza
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
 
Arosto niliyonayo ni zaidi yakukosa kiroba jogoo[emoji23]
 
lege
siweki ng'oo nimebanwa Wacha arosto iwatese
sorry
nimebanwa msijali ntaweka
 
Haya ndo madhara ya vya bure Lege anatuchora tu ila poa ngoja niiruhusu kamati ianze kazi
 
Ngoja nilale, nitaikuta asubuhi kama akiweka, kuliko kusubiri hadi usiku mwingi na asiweke, bora nisikose vyote, usingizi na story.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…