Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Weeee komaa na maumivu yako tu mkuu hamna namnahivi bado lege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeee komaa na maumivu yako tu mkuu hamna namnahivi bado lege
LegeLEGE we are weiting 4 you
hahahhhhLege usipowek leo nakushtakia kwa wachawi na walozi wote wakiongozwa na Mshana jr wakutoe busha tu maana hamna namna sasa. Ntapita hapa saa mbili usiku kama bado naita kamati yangu
Hah haha
Hawakujui ukisema si mda una maanisha nini
Wee endelea mkuu ntaendelea kuwatuliza
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
naona siku hizi unajitahidi kutoumiaWeeee komaa na maumivu yako tu mkuu hamna namna
Wiiiii akipost niite basi japo ulinichunia mie nmeiona leonaona siku hizi unajitahidi kutoumia
nitakuita wiii najua haupendi mm ndio nilipoweka nanga huku yaan hili ndio jukwaa langu zipo nyingi tu utanikutaWiiiii akipost niite basi japo ulinichunia mie nmeiona leo
hahahah umenichekesha sanaNgoja nilale, nitaikuta asubuhi kama akiweka, kuliko kusubiri hadi usiku mwingi na asiweke, bora nisikose vyote, usingizi na story.