mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,441
- 431,885
Mkuu lege asante kwa muendelezo bonge la hadithi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha shida yako ujue kilichotokea kati ya Monny na ZumoEndelea basi kidogo jaman
Hahahahaha lol,hata sijawaza hvyo bwana bora hako kasehem akaweke usiku maana waweza jikuta mambo c mambo halafu niko ofisiniHahahahaha shida yako ujue kilichotokea kati ya Monny na Zumo
HahahahahahHahahahaha lol,hata sijawaza hvyo bwana bora hako kasehem akaweke usiku maana waweza jikuta mambo c mambo halafu niko ofisini
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Hahahahahah
kwa vitamu wee...[emoji1] [emoji1] ...!!...lege asante imeishia patamu
chief we hupendi vitamukwa vitamu wee...[emoji1] [emoji1] ...!!...
Kwa niaba ya LEGE hii story ndio imeishia hapa. Haitaendelea tena kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo, msiulize ni matatizo gani maana hayawahusu. Nitawajuza endapo kutakuwa na mabadiliko yoyote, kwani wote nimewaweka kwenye taglist yangu.
ASANTENI KWA SUBIRA NA UVUMILIVU WENU. KWANZA HAMLIPI HATA MIA NA WALA HAMCHANGII BUNDLE.
MUWE NA MCHANA MWEMA.
(joke)[/QUOTEWewee