Mkuu ktk watu wanaojua kutoa matumaini wewe ni mmojawapi wasiwasi wangu tu ni kwenye vitendo hahahahhapana mkuu haiwezi kuwa hivyo nipo nje ya dar ndio maana kimyaa but nikirudi naamini sitowaangusha nitakuja na mshindo mkuu nitajitahidi kupost mara 4 or 2 tuu season 3 iwe imekwisha.naamini hamtopata mda wa kukoment zaidi ya kusoma tuu kwa kwenda mbele
huo ndio ukweli wangu mkuu kuna mdau huwa ananipigia simu na humu jf kuna member wengi tuu huwa tunaonana nao au kuwasiliana mbona mfano some times nafika home saa 7 wengi huwa mnakuwa mmeshalalaMkuu ktk watu wanaojua kutoa matumaini wewe ni mmojawapi wasiwasi wangu tu ni kwenye vitendo hahahah
hapana mkuu haiwezi kuwa hivyo nipo nje ya dar ndio maana kimyaa but nikirudi naamini sitowaangusha nitakuja na mshindo mkuu nitajitahidi kupost mara 4 or 2 tuu season 3 iwe imekwisha.naamini hamtopata mda wa kukoment zaidi ya kusoma tuu kwa kwenda mbele
Tunasoma wote... ila maswali yamekuwa mengi kama mm ndio lege mwenyewe... anataka niiendeleze mmhuwa mnasoma wote au unamsimulia
Unarudi lini kutoka mkoani ? Na wasalimie piahuo ndio ukweli wangu mkuu kuna mdau huwa ananipigia simu na humu jf kuna member wengi tuu huwa tunaonana nao au kuwasiliana mbona mfano some times nafika home saa 7 wengi huwa mnakuwa mmeshalala
hapana mkuu haiwezi kuwa hivyo nipo nje ya dar ndio maana kimyaa but nikirudi naamini sitowaangusha nitakuja na mshindo mkuu nitajitahidi kupost mara 4 or 2 tuu season 3 iwe imekwisha.naamini hamtopata mda wa kukoment zaidi ya kusoma tuu kwa kwenda mbele
ndio umwambie lege hajaweka kitu atulieTunasoma wote... ila maswali yamekuwa mengi kama mm ndio lege mwenyewe... anataka niiendeleze mm
Mkuu wewe ndio unatusuza roho pale tunapokuwa na matumaini mfu.huo ndio ukweli wangu mkuu kuna mdau huwa ananipigia simu na humu jf kuna member wengi tuu huwa tunaonana nao au kuwasiliana mbona mfano some times nafika home saa 7 wengi huwa mnakuwa mmeshalala
MmhMkuu wewe ndio unatusuza roho pale tunapokuwa na matumaini mfu.
Sasa uko nje ya dar ona tunavyoteseka mkuu.
Sasa hivi simu yangu kijijini inaonekana haina maana kwani niliwapoza watu kwa kuwaita kuja kusoma, sasa hivi wanakuja mwishowee wanarudi na vinyongo vyao, wengi wameniita sina maana,.
Kibaya zaidi kuna ka demu kakali kaliniambia kata nipa namba siku ukiweka, sasa hivi kananiuliza nabaki nauma klips tu mkuu
Kwa tunaomuelewa LEGE hili hatulishangai aseeefigisu...bhana LEGE.....usikatae...[emoji1] [emoji1]
story ikifikiaga kwenye kiini.... shida inaanzia hapo..