mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
Mkuu ktk watu wanaojua kutoa matumaini wewe ni mmojawapi wasiwasi wangu tu ni kwenye vitendo hahahahhapana mkuu haiwezi kuwa hivyo nipo nje ya dar ndio maana kimyaa but nikirudi naamini sitowaangusha nitakuja na mshindo mkuu nitajitahidi kupost mara 4 or 2 tuu season 3 iwe imekwisha.naamini hamtopata mda wa kukoment zaidi ya kusoma tuu kwa kwenda mbele