QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

twende kazi baaasiiiii....!!!...acha sanaa..leta burrrdaaaniiiii....
 
Ngoja asuse
 
Siku mbili tatu tena whatttttπŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ mkuu kweli unatujali????
 
Hahaha kupanic vepeee.......watch it ....not to that extent.. .
 
Nimetoka kupitia kipage cha mwisho ili nijikumbushe naona lege leo atatumwagia mavituzzzz monica na Austin wakitamaniana nimewakumbushaa tu
 
Pole na majukumu cc Huku tushapoa ila mateja wa simulizi ya Monika wengi washapoteza maisha ila wengine watakuepo karibu Sana [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mkuu kidogo nisalimu amri sober house kwa uteja ulionishika, ila ss umerudi usituangushe mkuu ukitupia mzigo usisahau kunitag aseeh.
 
Mkononi hapa nina kitabu cha mtuhumiwa cha ndugu yetu Tuwa najipoza na alosto ya Monica
 
Mkononi hapa nina kitabu cha mtuhumiwa cha ndugu yetu Tuwa najipoza na alosto ya Monica
Huyo tuwa huyo mkuu ni kiboko ya uchafu and I hope you enjoy it to the maxmum...
Hivi mkuu wewe ndo hua huazimushi ee? [emoji2]
 
Huyo tuwa huyo mkuu ni kiboko ya uchafu and I hope you enjoy it to the maxmum...
Hivi mkuu wewe ndo hua huazimushi ee? [emoji2]
Mkuu vitabu vya Tuwa huwa haviazimishwi kwasababu ukiazimisha hakirudi tena.
Ukihitaji vya Joram Kiango(Ben Mtobwa) au Willy Gamba( E Musiba ) nitakuazima lakini huyu Tuwa tutasameheana kidogo.πŸ™‚πŸ™‚
 
Mkuu vitabu vya Tuwa huwa haviazimishwi kwasababu ukiazimisha hakirudi tena.
Ukihitaji vya Joram Kiango(Ben Mtobwa) au Willy Gamba( E Musiba ) nitakuazima lakini huyu Tuwa tutasameheana kidogo.πŸ™‚πŸ™‚
Duh ! Umenichosha roho na mwili ila poa mkuu ntakuja nikupange pm
 
Lege veepee mkuu hadi now bhado hujakaa sawa? tuna kiu tuhurumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…