QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Jamani tulieni basi. Mwacheni awatafute akina Austin ili waliendeleze...
Duh, lakin tumesota#
 
Alisema baada ya siku mbili tatu ataweka mzigo na leo ndo siku ya tatu so ikipita leo tunafunga ukurasa kwa kuamini kuwa tumedanganywa
 
  • Thanks
Reactions: cip
Yuko zake na masela hamkumwelewa tu
 

Attachments

  • tapatalk_1491458551974.jpeg
    tapatalk_1491458551974.jpeg
    36.1 KB · Views: 138
Mkuu vitabu vya Tuwa huwa haviazimishwi kwasababu ukiazimisha hakirudi tena.
Ukihitaji vya Joram Kiango(Ben Mtobwa) au Willy Gamba( E Musiba ) nitakuazima lakini huyu Tuwa tutasameheana kidogo.🙂🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo tuwa huyo mkuu ni kiboko ya uchafu and I hope you enjoy it to the maxmum...
Hivi mkuu wewe ndo hua huazimushi ee? [emoji2]

Duh ! Umenichosha roho na mwili ila poa mkuu ntakuja nikupange pm
 
Hukutakiwa kuongea kitu ulipaswa kufanya vitendo. Sasa hapo uliposema baada ya siku mbili tatu bado hujawa specific. Hata hivo stori ni yako, bando ni lako na muda ni wako wasi ku drive hawa na kama wanajiona wana uhuru wa kukuuliza NOT to that extent

NOT TO THAT EXTENT
In the voice of[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom