QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Mhhh hongera mtunzi,Taaluma ya kuunganisha matukio shikamoooooooooo
 
Kuna time nahisi Rais Zumo ana akili sana yawezekana huyo mwanamama Paulina akawa sio mkewe ila katengenezwa tu kumpanga Monica manake mke halali awe hivo kweli mhhhhh
Hahaha mkuu, Paulina ni mke halali kabisa wa Rais Zumo, ila hana uwezo wa kuzaa, inaonekana wamekubaliana bila kinyongo kwamba Zumo aoe mwanamke mwingine ili apate watoto. Ila Paulina ni wa kipekee sana.
 
Habari zenu! Leo vp ndugu? Kuna dalili zozote za mawingu?
 
Leo LEGE hata simuoni mstarini(online). Sidhani kama kuna kitu leo, ngoja niendelee kusubiri kidogo.
 
Lege ijumaa ndo hii wekend inaanza tufanye tukeshe coz kesho mapumziko
 
hahaha huwezi kuyakimbia majukum mkuu .ukiikimbia riziki utakufa na njaa
Mkuu LEGE weekend ndio hii, hebu fanya kama unaing'arisha. Jana maji yalizidi unga, jitahidi leo unga ndio uzidi.
 
Unga ukizidi hatukuli. Inabid tulete tank la maji.
Hahahag
 
Naombeni kujuzwa jamani...
Hivi ukitaka kuquote unafanyaje? Mi inazingua au mpaka pc?
 
Back
Top Bottom