successor
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 3,083
- 6,139
Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi) | JamiiForums | The Home of Great ThinkersMkuu naomba link ya vipepeo weusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi) | JamiiForums | The Home of Great ThinkersMkuu naomba link ya vipepeo weusi
Shusha Season 2 yote.... Kesho Season 3, Jumapili Season 4.....hakika week end sitowaangusha .maana hakuna starehe na furaha ya kweli isiyo na bugudha zaidi ya kusoma riwaya.
week end ndio hiyooo wacha tukeshe nayo
still waiting!!!!!hakika week end sitowaangusha .maana hakuna starehe na furaha ya kweli isiyo na bugudha zaidi ya kusoma riwaya.
week end ndio hiyooo wacha tukeshe nayo
Unaonekana ulipenda peniela balaa...kama mimiALBERTOS kama Team SC41 ya John Mwaulaya Albert
Wee uwa unamwamini!Inasikitisha sana kucancel mambo fulani ili usubirie story ya Monica, mwisho wa siku unaachwa Solemba...
Mnooooo!!! Peniela ni balaa, ilitaka kuniletea shida kazini, iliathiri sana ufanisi wangu katika kazi, maana sikuwa nalala masaa ya kutosha kwasababu ya Peniela. Nashukuru Mungu niliimaliza maana mmmmh!!Unaonekana ulipenda peniela balaa...kama mimi
HahahaMnooooo!!! Peniela ni balaa, ilitaka kuniletea shida kazini, iliathiri sana ufanisi wangu katika kazi, maana sikuwa nalala masaa ya kutosha kwasababu ya Peniela. Nashukuru Mungu niliimaliza maana mmmmh!!