LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
- Thread starter
- #761
SEHEMU YA 49
kwa kitendo nilichokifanya cha
kumdanganya kuhusu kazi iliyonileta Dar
es salaam.Itanilazimu nimueleze ukweli
wa kila kitu ili asije huku kwani mambo
yanayokwenda kutokea siku si nyingi ni ya
hatari sana kwa usalama wake na siko
tayari kuyaweka maisha yake hatarini.”
Akawaza Austin na kwenda kuchukua
kompyuta yake akamtafuta Maria
mtandaoni akampigia.Maria akapokea
simu
“ How’re you my love.Huwezi jua ni
kwa namna gani nimeisubiri simu hii
leo.Sijui kama ningeweza kulala bila
kuisikia sauti yako nzuri.Nakupenda sana
Austin na ndiyo maana ninakuwaza mno
kuliko kitu kingine chochote.” Akasema
Maria na kumfanya Austin atabasamu
“ Hello malaika wangu, umeshindaje
leo? Nisingeweza kulala bila kujua hali
yako “
“ Nimeshinda salama mpenzi wangu
na hali yangu ni njema sana.Leo
nimeshindwa kusaini ule mkataba
,wanasheria wa Alnoor wanaweka sawa
baadhi ya vipengele ila kesho nina
uhakika tutasaini mkataba na baada ya
hapo sintopoteza hata dakika moja
,nitapanda ndege kuja Dar es salaama
kukutana nawe mfalme wangu” Akasema
Maria na Austin akajikuta akikosa neno la
kusema
“ Mbona umekuwa kimya ghafla
Austin? Hutaki nije Dar es salaam?
Akauliza Maria.Austin akakohoa kidogo na
kusema
“ Uhhmm ! Maria bado unasisitiza
kutaka kuja Dar es salaam?
“ Ndiyo ninasisitiza Austin.Mbona
unaonekana hujapendezwa na mimi
kutaka kuja Dar es salaam?Kuna nini
unanificha Austin? Tafadhali kuwa
muwazi”
akasema
Maria.Austin
akatabasamu na kusema
“ Hakuna chochote ninachokificha
Maria ila nina wasi wasi na usalama”
“ Kama huna unachokificha basi
hupaswi kuwa na wasi wasi.Nitakuja Dar
es salaam mara tu baada ya kumalizana na
Alnoor.Austin siogopi hatari yoyote kama
kuna lolote baya basi litufike sote kwa
hiyo ujiandae kunipokea kesho
kutwa.Nitakutaarifu kesho ni ndege gani
nitapanda ili unipokee uwanja wa ndege”
akasema Maria wakaendelea na maongezi
mengine na baada ya saa nzima
wakaagana
“ Nimeshindwa kumueleza Maria
ukweli na hii ina maana lazima aje Dar es
salaam.What can I do? Nifanye nini
kumzuia asije? Ulimi umekuwa mzito
kumueleza ukweli na endapo atakuja Dar
lazima atagundua nimemdanganya na
ataumia sana kwani mimi ni mtu
anayeniamini kuliko hata baba yake
mzazi.Nitaongea na baba yake pengine
anaweza akanisaidia kwa namna yoyote
ile kumfanya Maria asije Dar es salaam”
akawaza Austin na kuanza kuwaza tena
juu ya majukumu yaliyoko mbele yake
“ Monica Benedict Mwamsole ,who is
this woman? Kwa bahati mbaya mimi si
mfuatiliaji sana wa habari za mambo haya
ya urembo ndiyo maana simfahamu huyo
Monca ni nani hadi kutangazwa kuwa
mwanamke mrembo kuliko wote
Afika.Haiwezekani atokee mwanamke
mmoja awe mzuri kuliko mamilioni ya
wanawake wa Afrika,awe mzuri
kumshinda hata mpenzi wangu
Maria.Mimi naamini Maria ni mwanamke
kwa kitendo nilichokifanya cha
kumdanganya kuhusu kazi iliyonileta Dar
es salaam.Itanilazimu nimueleze ukweli
wa kila kitu ili asije huku kwani mambo
yanayokwenda kutokea siku si nyingi ni ya
hatari sana kwa usalama wake na siko
tayari kuyaweka maisha yake hatarini.”
Akawaza Austin na kwenda kuchukua
kompyuta yake akamtafuta Maria
mtandaoni akampigia.Maria akapokea
simu
“ How’re you my love.Huwezi jua ni
kwa namna gani nimeisubiri simu hii
leo.Sijui kama ningeweza kulala bila
kuisikia sauti yako nzuri.Nakupenda sana
Austin na ndiyo maana ninakuwaza mno
kuliko kitu kingine chochote.” Akasema
Maria na kumfanya Austin atabasamu
“ Hello malaika wangu, umeshindaje
leo? Nisingeweza kulala bila kujua hali
yako “
“ Nimeshinda salama mpenzi wangu
na hali yangu ni njema sana.Leo
nimeshindwa kusaini ule mkataba
,wanasheria wa Alnoor wanaweka sawa
baadhi ya vipengele ila kesho nina
uhakika tutasaini mkataba na baada ya
hapo sintopoteza hata dakika moja
,nitapanda ndege kuja Dar es salaama
kukutana nawe mfalme wangu” Akasema
Maria na Austin akajikuta akikosa neno la
kusema
“ Mbona umekuwa kimya ghafla
Austin? Hutaki nije Dar es salaam?
Akauliza Maria.Austin akakohoa kidogo na
kusema
“ Uhhmm ! Maria bado unasisitiza
kutaka kuja Dar es salaam?
“ Ndiyo ninasisitiza Austin.Mbona
unaonekana hujapendezwa na mimi
kutaka kuja Dar es salaam?Kuna nini
unanificha Austin? Tafadhali kuwa
muwazi”
akasema
Maria.Austin
akatabasamu na kusema
“ Hakuna chochote ninachokificha
Maria ila nina wasi wasi na usalama”
“ Kama huna unachokificha basi
hupaswi kuwa na wasi wasi.Nitakuja Dar
es salaam mara tu baada ya kumalizana na
Alnoor.Austin siogopi hatari yoyote kama
kuna lolote baya basi litufike sote kwa
hiyo ujiandae kunipokea kesho
kutwa.Nitakutaarifu kesho ni ndege gani
nitapanda ili unipokee uwanja wa ndege”
akasema Maria wakaendelea na maongezi
mengine na baada ya saa nzima
wakaagana
“ Nimeshindwa kumueleza Maria
ukweli na hii ina maana lazima aje Dar es
salaam.What can I do? Nifanye nini
kumzuia asije? Ulimi umekuwa mzito
kumueleza ukweli na endapo atakuja Dar
lazima atagundua nimemdanganya na
ataumia sana kwani mimi ni mtu
anayeniamini kuliko hata baba yake
mzazi.Nitaongea na baba yake pengine
anaweza akanisaidia kwa namna yoyote
ile kumfanya Maria asije Dar es salaam”
akawaza Austin na kuanza kuwaza tena
juu ya majukumu yaliyoko mbele yake
“ Monica Benedict Mwamsole ,who is
this woman? Kwa bahati mbaya mimi si
mfuatiliaji sana wa habari za mambo haya
ya urembo ndiyo maana simfahamu huyo
Monca ni nani hadi kutangazwa kuwa
mwanamke mrembo kuliko wote
Afika.Haiwezekani atokee mwanamke
mmoja awe mzuri kuliko mamilioni ya
wanawake wa Afrika,awe mzuri
kumshinda hata mpenzi wangu
Maria.Mimi naamini Maria ni mwanamke