Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena huyo ndo atakuwa mumewe!Lazima Monica aliwe na Austin
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Baradhuli ni ya kiboya sana, haina kiwango. Huo ni mtazamo wangu, ila unaweza ukaijaribu na wewe, mimi nimeishindwa.
HAHAHAHAH mkuu acha basi sifanyi kusudi. nipo site now but night nitajitahidi kufanya mpangoLuge
Wakuu samahani sana mambo yamekuwa mengi mno
Ila Leo ntawarushia ya kuanzia wiki.
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
Pole sana mkuu usijali mkuu, majukumu mengi, mi ata usipo kuja nikiona muda umesonga ntawatuliza kiivyo.HAHAHAHAH mkuu acha basi sifanyi kusudi. nipo site now but night nitajitahidi kufanya mpango
Afu wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]Lege
Wakuu nimebanwa mno mno mno , ngoja kuna jambo nifanye
Laptop nayo inasumbua kidoogo ndo narekebisha ikipona narusha tumalize hii sehemu ya pili Leo leooo wakuu
Poleni sana
LegeAfu wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha we jamaa bhna, burudani kweli kweliLege
Wakuu nimebanwa mno mno mno , ngoja kuna jambo nifanye
Laptop nayo inasumbua kidoogo ndo narekebisha ikipona narusha tumalize hii sehemu ya pili Leo leooo wakuu
Poleni sana
Ahaaaa, we jamaa hebu acha bwana! utasababisha lege atufanyie yale ya PenielaLege
Wakuu nimebanwa mno mno mno , ngoja kuna jambo nifanye
Laptop nayo inasumbua kidoogo ndo narekebisha ikipona narusha tumalize hii sehemu ya pili Leo leooo wakuu
Poleni sana
LEGE nyt ndo hii aseeHAHAHAHAH mkuu acha basi sifanyi kusudi. nipo site now but night nitajitahidi kufanya mpango
LegeLege VP unatuma mida hiyo kitu. Au bado upo site bro???