NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Soma Baradhuli ni kali kinyama, hutojuta mie naisoma piaWapenzi wenzangu wa stories za kijasusi mimi kwa upande wangu nikiwa namsubiri lege nataka nisome story nyingine ya kupotezea mda so plz nichagulieni mojawapo ila peniela nshaisoma na ilinitesa sana kwakweli , vipepeo weusi nayo tupo tunaisubiri , mke wa rais nishalamba au nisome baradhuki mwenye mikono ya chuma ? Je ni nzuri kama peniela au kama hii?