QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Lege.endelea kushusha vitu, achana na mitazamo ya binadamu, ndivyo tulivyo.
 
LEGE wewe ni Jembe ndio maana kila saa tuko kwenye thread yako!!!!!!!!!!!!
 
Bashite angepita hapa kusoma hii Riwaya nadhani angeacha kukurupuka kuhusu wauza Madawa,
 
Shukran kwako LEGE umekata kiu ya wengi pia tujifunze akiba ya maneno wadau hii ya leo inaitwa MWANA UKOME.
 
Lege Mungu akutunuku maisha marefu, wapi [HASHTAG]#shunie[/HASHTAG] mama
 
Ndo nmepanga kusoma hii story leo yaan naianza mwanzo
 
Mhh hii naona mpk mida ya wanga ndio itashushwa ngoja tu nilale
 
Mkuu LEGE naomba urushe basi mida mida uliyosema ndio hii mkuu wangu.....
 
Back
Top Bottom