QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Lege, ujue wew ni mtu wa muhimu sana. Ukiona roho za watu zipo juu kwa sababu yako ujue we ni kichwa. Natamani kukufahamu zaidi. Story zako cjui zina nini.
 
Dah,,wakuuu hi adthi ni nzur nimeifatilia tka juzi hadi sasa yani nlikuwa silali kila naposoma natamani kuendelea namshukur mung sas nmemalizaaaa....kwahy legeee tafadhali letaa mambo
 
Je mpango wa Austin na job utafanikiwa?
Waziri mkuu atakuwa mkasha? VIP Boaz atasema siri zote baada ya kukamatwa na VIP job ataendelea kuwa chizi au atabadilika na VIP Albetos watafanikiwa kumuua Rais?...Maria kasema atarudi tena ucku kwa Austin VIP atafanikiwa na VIP Marcelo aliyeachiwa simu ndani hatawapigia marafiki zake anaozani wapo upande wake kube hawapo nae?
Kuna kikosi kinakuja kutoka makao makuu ya Alberto kwa kazi malumu VIP kitafika au nn kitatokea?
Waziri mkuu atakuwa nani?
Kikos cha kumlinda Rais kitaundwa na watu wangapi na akina nani?
Mke wa Rais atamuua Mme wake au nn kitatokea?
......
.....Nawaza tu taratibu sijui nn kitatokea.
 
Afrimec **Africa online Doctors consultation
Tunatoa ushauri kuhusu afya ya uzazi , watoto , magonjwa mbalimbali katika jamii nk.
@ qualified telehealth service provider
Contact
+255759212578
 
Afrimec **Africa online Doctors consultation
Tunatoa ushauri kuhusu afya ya uzazi , watoto , magonjwa mbalimbali katika jamii nk.
@ qualified telehealth service provider
Contact
+255759212578
 
Afrimec **Africa online Doctors consultation
Tunatoa ushauri kuhusu afya ya uzazi , watoto , magonjwa mbalimbali katika jamii nk.
@ qualified telehealth service provider
Contact
+255759212578
Tafadhali mkuu fungua sredi nyengine uweke matangazo yako,sredi hii si mahala sahihi
 
Huyu LEGE ni wa kumuacha tu akipata muda ataweka lakini ukifuata ahadi zake utajitia presha. Tatizo inapochukua muda mrefu radha na muendelezo unapotea tulishasahau kama Monica alitolewa bikra na nani
 
Back
Top Bottom