Prof alvin
Senior Member
- Jun 11, 2016
- 145
- 469
Mkuu ahsante japo ni mbali lakini tutasubiri tu. Ahsante sana mbaduda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu nimeshaimaliza yoteMkuu Shunie sehemu ya 4 iko humuhumu rudi tu nyuma!
Shikamoo Ekyoma[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa nimekuelewa ujue mara nyingi napenda kutembea na bag ata jana ulinistua kweli nikajiuliza uyu jamaaa kanijuaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazana uje upande foleni ya season ya 8 sio mbayaJamani ndo naianza season 4 sasa hivi ntawafikia kweli?
Mkuu ubarikiwe sana niliisoma yote jana usiku [emoji8]aseee mi siruhusiwi kutoa hyo stor labda nilitoa nafasi 1 kwa shunie tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe sana mbududaUmesomeka Mamushka Shunie
Marahaba toto zuri naona wakuu wanakuhongo story inbox nshakwambia mm kama tatizo ni queen monica mm mwenyewe nimeanza kutunga tyr queen shunieShikamoo Ekyoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we si umekataa kunihonga na uliinunua hiyo story ya queen shunie ukiiweka unitag nije kujioneaMarahaba toto zuri naona wakuu wanakuhongo story inbox nshakwambia mm kama tatizo ni queen monica mm mwenyewe nimeanza kutunga tyr queen shunie
Sent using Jamii Forums mobile app
Aseeee kwa misele tuu ya huku hujambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ushakuwa maalufu utafikiri mtunzi wa storii[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we si umekataa kunihonga na uliinunua hiyo story ya queen shunie ukiiweka unitag nije kujionea
Na wewe vipiii mbona huku pia upo kila chimbo au nyani haoniiAseeee kwa misele tuu ya huku hujambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ushakuwa maalufu utafikiri mtunzi wa storii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si kwa misele hii, hivi hizi stori zingekuwa zinapatikana kwenye vibanda vya cinema ka enzi hizo, hafu zikaonyeshwa kumbi tofauti naamini mwenzetu ungekufa kwa misele,Na wewe vipiii mbona huku pia upo kila chimbo au nyani haonii
Ebu niache mie na acha kusoma basi mbona kila kwenye kila story upooo niache wengine story ndio starehe yetu tusipangianeSi kwa misele hii, hivi hizi stori zingekuwa zinapatikana kwenye vibanda vya cinema ka enzi hizo, hafu zikaonyeshwa kumbi tofauti naamini mwenzetu ungekufa kwa misele,
Napoga picha tuu,
Ungeingia ukumbi huu nakuta haijanoga unarudi ukumbi ule unakuta haijaanza, unarudi ukumbi huu unakutana na watu wanatoka[emoji23] [emoji23] [emoji23] unakimbilia ukumbe ule unakutana na watu pia wanatoka huku wakisimuliana[emoji23] [emoji23] yaani imeishaaaa
Kupaniki hakujawahi kumuacha shunie salamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ebu niache mie na acha kusoma basi mbona kila kwenye kila story upooo niache wengine story ndio starehe yetu tusipangiane
Ebu niache mie mfyuuuu unamsema shunie we mwenyewe kila story upo niache na ninavyopenda story ndio starehe yangu nyani haoni kunduleee wahenga hawakukosea kabisa nilipo upoKupaniki hakujawahi kumuacha shunie salamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cha kushangaza hua unaongea ukimaliza kusona,
Inaonekana hua unakiu kama ya mchungaji jangwani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
UmekasirikaEbu niache mie mfyuuuu unamsema shunie we mwenyewe kila story upo niache na ninavyopenda story ndio starehe yangu nyani haoni kunduleee wahenga hawakukosea kabisa nilipo upo