Penelope
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 713
- 642
Huyu jamaa nimesoma kazi zake nne kabla ya hii ni mtunzi mzuri sana huyu.
Ukianza na ile,
Before I die.
Beyond pain
Miss Tanzania
Peniela
Na hii, jamaa yuko vizuri sana.
Vitabu vyake vinapatikanaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa nimesoma kazi zake nne kabla ya hii ni mtunzi mzuri sana huyu.
Ukianza na ile,
Before I die.
Beyond pain
Miss Tanzania
Peniela
Na hii, jamaa yuko vizuri sana.
Dyuu mkuu kitu cha Season 8 ...Tunakisubiria, muhusika aliniambia j2 kitakuwa out...so tusubirimbududa vipi tena mbona kimya?
Tunasubiria mkuuDyuu mkuu kitu cha Season 8 ...Tunakisubiria, muhusika aliniambia j2 kitakuwa out...so tusubiri
Karibu JF mkuunashukuru kua mwanajf,nimejitahidi kusoma kimya kimya ila sasa imenilazimu kujisajiri ili nimpe haki yake mwandishi.well tarented bro Patty,keep it up.
Sent using Jamii Forums mobile app
Okey mr. taRented [emoji12]nashukuru kua mwanajf,nimejitahidi kusoma kimya kimya ila sasa imenilazimu kujisajiri ili nimpe haki yake mwandishi.well tarented bro Patty,keep it up.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu JF mkuu jisikie upo nyumbaninashukuru kua mwanajf,nimejitahidi kusoma kimya kimya ila sasa imenilazimu kujisajiri ili nimpe haki yake mwandishi.well tarented bro Patty,keep it up.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo jaman season 8 bado huko
Mkuu siku yenyewe si ndio leoDyuu mkuu kitu cha Season 8 ...Tunakisubiria, muhusika aliniambia j2 kitakuwa out...so tusubiri
Mkuuu ile ijumapili ni leo mkuuuDyuu mkuu kitu cha Season 8 ...Tunakisubiria, muhusika aliniambia j2 kitakuwa out...so tusubiri
Huanzia huko kwa wanaonunua kwanza baada ya wiki ndio inatumwa hukuMkuuu ile ijumapili ni leo mkuuu
Aiseeeee ngoja tuwe wapoleHuanzia huko kwa wanaonunua kwanza baada ya wiki ndio inatumwa huku
Hii story itakuwa haijatoka maana na mimi ni mmoja wa wanunuaji lakini hajanipa notification kuwa imetoka! Tuzidi kuvuta subiraAiseeeee ngoja tuwe wapole
Shunie ivi lini ww utatangaza unatafta mme jfMkuu upo jaman season 8 bado huko
Mume ninae mbona nimeshapata Ekyoma siwezi tangaza mie