Queen Nzinga, kiongozi wa Angola aliyewaoa vijana zaidi ya 80 na kuwaua baada ya kushiriki nao tendo

Queen Nzinga, kiongozi wa Angola aliyewaoa vijana zaidi ya 80 na kuwaua baada ya kushiriki nao tendo

Unguja(Zanzibar) Kuna story kama hiyo enzi za ufalme wa kiarabu kulikuwa na Binti wa kiarabu anaitwa bi khole makumbusho yake yako Bungi yeye alikuwa anaingiliana nao kimwili watumwa wa kiume halafu anawachinja na kumbukumbu yake anakata kichwa Kwa historia nilivyosimuliwa baada ya kitembelea pale alikuwa anapanda miembe Kuna miembe zaidi ya mia upande wa kulia na kushoto mwa barabara.
 
Unguja(Zanzibar) Kuna story kama hiyo enzi za ufalme wa kiarabu kulikuwa na Binti wa kiarabu anaitwa bi khole makumbusho yake yako Bungi yeye alikuwa anaingiliana nao kimwili watumwa wa kiume halafu anawachinja na kumbukumbu yake anakata kichwa Kwa historia nilivyosimuliwa baada ya kitembelea pale alikuwa anapanda miembe Kuna miembe zaidi ya mia upande wa kulia na kushoto mwa barabara.
Naam hadithi hii nami naifahamu vyema hususani pale ni nyumbani

Huyu bibie alikuwako karne ya 19 chini ya Utawala wa Sultan hapo Zanzibar , Kijiti alikipokea kutoka kwa Baba yake baada ya kifo. Huyu inaelezwa alikuwa mrembo Ajabu aliwachanganya wanaume wakiarabu kwa weusi.

Pia inaelezwa alikuwa maridadi katika uvaaji , Mpangilio wa mavazi na vitaambaa alikuwa namba moja miongoni mwa Wanawake.

Histori inasema kwamba alikuwa akiishi na mpenzi akamchoka bai ataamuru azikwe na alipozikwa papandwe mti wa Mwembe , inasema alikuwako na wapenzi zaidi ya 240.
 
download.jpeg


Nadhani hii ndio inaendana zaidi na historia tajwa.
 
Nilichojifunza mwanamke hata aweje lazima kuna mtu wa kumkaza.
Yap; ila huwezi lala na malkia halafu ukaenda simulia wajinga wenzio malkia alivyo! Hutopata nafasi ya simulizi kamwe! Mimi nimejifunza Hilo.
 
Mh! yaleyale ya Idd Amin anakula nyama za watu, mzungu hajawahi kumuandika vizuri shujaa wa kiafrika
 
Yap; ila huwezi lala na malkia halafu ukaenda simulia wajinga wenzio malkia alivyo! Hutopata nafasi ya simulizi kamwe! Mimi nimejifunza Hilo.
😅😅😅😅
 
Unguja(Zanzibar) Kuna story kama hiyo enzi za ufalme wa kiarabu kulikuwa na Binti wa kiarabu anaitwa bi khole makumbusho yake yako Bungi yeye alikuwa anaingiliana nao kimwili watumwa wa kiume halafu anawachinja na kumbukumbu yake anakata kichwa Kwa historia nilivyosimuliwa baada ya kitembelea pale alikuwa anapanda miembe Kuna miembe zaidi ya mia upande wa kulia na kushoto mwa barabara.
Miembe zaidi ya 300
 
Uongo na uzushi: Queen Nzinga hakuwa muuaji na katili kiasi hicho hizo ni propaganda za wazungu kumchafua kama walivyo fanya kwa King of Kwazulu Natal
 
Uongo na uzushi: Queen Nzinga hakuwa muuaji na katili kiasi hicho hizo ni propaganda za wazungu kumchafua kama walivyo fanya kwa King of Kwazulu Natal
Daah shukrani mkuu hebu lete ukweli ili tuchambue mbivu na mbichi.
 
Uongo na uzushi: Queen Nzinga hakuwa muuaji na katili kiasi hicho hizo ni propaganda za wazungu kumchafua kama walivyo fanya kwa King of Kwazulu Natal
Kuna article zinadai hili nadhani hata kwenye hii nyuzi nmegusia hapo kwenye paragraph mojawapo
 
Back
Top Bottom