ADC Party
Member
- Sep 14, 2020
- 28
- 29
Michungwani.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi Queen Cuthbert Sendiga Akipewa na kupokea zawadi ya chungu cha udogo na wananchi wa Michungwani wilaya ya handeni kama mfano wa kwenda kuwatengenezea maisha ya miloo mi 3 kwa siku, ambayo kwasasa kwao ni kama ndoto katika maisha yao ya kila siku.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi Queen Cuthbert Sendiga Akipewa na kupokea zawadi ya chungu cha udogo na wananchi wa Michungwani wilaya ya handeni kama mfano wa kwenda kuwatengenezea maisha ya miloo mi 3 kwa siku, ambayo kwasasa kwao ni kama ndoto katika maisha yao ya kila siku.