Hajielewii huyuuHebu tuainishie hata Kwa kifupi Tu huo uchafu na usodoma ..
Kuruani ni aina ya chakula au mmea au kiumbe gani.Kuruwan bado ina gaps nyingi sana. Swali moja tu naomba unijibu.
Wapi imeandikwa katika kuruwan kwamba mswali kwa kiarabu katika swala zenu?
Pia mtumie majina ya kiarabu? Mjenge misikiti kwa design ya waarab? Mpike chakula kama arabic cuisine?
Kuruani ni aina ya chakula au mmea au kiumbe gani.
Mimi leo ndio nasoma hilo jina.
Pili kabla hatujajibu lolote nataka nikukumbushe tu kuwa bila waarabu we mkerewe mpk leo usingejua kuna lugha ya KISWAHILI.
Hilo jina unalotumia kutukania waarabu 'na lenyewe la kiarabu.
Yaani kifupi wewe bila waarabu hata hapa JF usingepajua.
Kuweni ba shukuruni japo kidogo enyi wanakondoo mliopotea