Qur-an description about the clouds

Qur-an description about the clouds

Kazi ipo asee , Ila mjue mungu hajazaa wala hajazaliwa tusifanye din kama upinzani wa simba na yanga itoshe kusema ivyoo...
 
Hujaainisha on specific way. Umesema tu bila kuziweka hapa wote tukaziona.

Wapi umeziweka ili kila mtu aone hayo maeneo ambayo umesema yana mashaka?

Unanipotezea muda, uliposema kuhusu kitabu cha book 2 Mathematics, ulijiandikia ilimradi tu au ?

Nenda kwenye hicho kitabu, kafungue hizo chapter, kisha ujibu maswali niliyo kuuliza ili uondoe mashaka niliyo kuwa nayo humo.
 
Mjinga n wewè na mudi

Kazi yangu nimemaliza.

Cha msingi, hakikisha ukiwa unaandika vitu uwe unavijua. Usiwe unaandika kuhusu mambo usiyo kuwa na elimu nayo, huu ni uhayawani na matokeo yake ndio kama haya.

Shukrani.
 
Unanipotezea muda, uliposema kuhusu kitabu cha book 2 Mathematics, ulijiandikia ilimradi tu au ?

Nenda kwenye hicho kitabu, kafungue hizo chapter, kisha ujibu maswali niliyo kuuliza ili uondoe mashaka niliyo kuwa nayo humo.
Kama umekisoma na kuziona hizo kasoro nimi kinakufanya ushindwe kuzibainisha kwa kuziweka hapa kila mtu azione?
 
Sasa kama hujui kwanini unapinga kuwa dini ya kihindu sio kongwe kuliko uislamu?

Swali zuri, nimekupa fact na marejeo.

Sasa kazi kwako uje kuthibitisha ya kuwa Dini ya Uhindu ni kongwe kuliko Uislamu.

Zingatia, uilete utoto kama unao uleta hapa na ujibu maswali ninayo kuuliza au niliyo kuuliza.

Swali lingine la ziada uje uonyeshe ya kuwa marejeo niliyo kuwekea sio Historical records, utuambie kwa misingi gani.
 
Kama umekisoma na kuziona hizo kasoro nimi kinakufanya ushindwe kuzibainisha kwa kuziweka hapa kila mtu azione?

Nibainishe mara ngapi, nimekutajia Chapter na kuhusu nadharia zenyewe. Isiwe najadiliana na mtu ambaye hata hizo hesabu huzijui, ukawa unanipotezea muda tu kwa kutaja mambo ili mradi.

Ulipotaja kitabu, bila shaka ulikua nacho, nimekuainishia hizo fusuli, nenda uje uzihakiki hapa kwa kurejea msingi wa maswali niliyo kuuliza kuhusu hizo chapters.
 
Swali zuri, nimekupa fact na marejeo.

Sasa kazi kwako uje kuthibitisha ya kuwa Dini ya Uhindu ni kongwe kuliko Uislamu.

Zingatia, uilete utoto kama unao uleta hapa na ujibu maswali ninayo kuuliza au niliyo kuuliza.

Swali lingine la ziada uje uonyeshe ya kuwa marejeo niliyo kuwekea sio Historical records, utuambie kwa misingi gani.
Fact hujatoa kwasababu ndizo zilzizokushinda mpaka ukafikia kukiri kuwa haujui.

Sasa unaposema umenipa facts unakuwa unanirudisha nyuma eneo ambalo tayari tumelihitimisha kwa wewe kukubali kuwa hujui.

Kwa hiyo bado hujagusa swali langu la kwanini ulikuwa unapinga kuwa dini ya kihindu sio kongwe kuliko uislamu?

Tafadhali jibu lisiwe "nilikupa facts" au mfanano wa hilo....tutakuwa tunafanya mark time na kuonekana wote ni wajinga hata kama ni wewe tu ndio unayeonesha ujinga.
 
Nibainishe mara ngapi, nimekutajia Chapter na kuhusu nadharia zenyewe. Isiwe najadiliana na mtu ambaye hata hizo hesabu huzijui, ukawa unanipotezea muda tu kwa kutaja mambo ili mradi.

Ulipotaja kitabu, bila shaka ulikua nacho, nimekuainishia hizo fusuli, nenda uje uzihakiki hapa kwa kurejea msingi wa maswali niliyo kuuliza kuhusu hizo chapters.
Lemme switch the question

Mtu akikuambia Quran chapter ya 3-5 kuna mashaka.

Kwa kuongea hivyo mtu huyo anakuwa tayari ameonesha mashaka yaliyopo kwenye Quran?
 
Lemme switch the question

Mtu akikuambia Quran chapter ya 3-5 kuna mashaka.

Kwa kuongea hivyo mtu huyo anakuwa tayari ameonesha mashaka yaliyopo kwenye Quran?

Husomi nilichokiandika kijana, sijui sababu ya uoga au la ? Sikuhishia katika kutaja tu chapter, rejea kule nilipo kuuliza kuhusu hilo. Ongeza umakini.

Lakini pia huenda kuna muda mtu akamaanisha chapter zote kwa ujumla zina mashaka, kwahyo bado jambo lipo wazi zaidi.
 
Husomi nilichokiandika kijana, sijui sababu ya uoga au la ? Sikuhishia katika kutaja tu chapter, rejea kule nilipo kuuliza kuhusu hilo. Ongeza umakini.

Lakini pia huenda kuna muda mtu akamaanisha chapter zote kwa ujumla zina mashaka, kwahyo bado jambo lipo wazi zaidi.
Kwakuwa wewe hujaweka hizo chapter hapa ulizodai zina mashaka ili nasisi tujionee na kuthibitisha kuwa unachosema kuhusu mashaka yaliyomo ndani ya hicho kitabu ni kweli.

Je akijitokeza mtu akakuambia nayo Quran katika idadi ya chapter hizo hizo namo pia kuna mashaka.

Mtu huyo atakuwa ametoa majibu ya kuonesha kweli Quran katika chapter hizo kuna mashaka?

Je atakuwa amethibitisha kuwa ni kweli Quran ina mashaka?

Kama jibu ni hapana, then nini kinachokufanya uone ukosoaji wako kuhusu kitabu kingine uchukuliwe kama ni hoja ya kweli?
 
Kwakuwa wewe hujaweka hizo chapter hapa ulizodai zina mashaka ili nasisi tujionee na kuthibitisha kuwa unachosema kuhusu mashaka yaliyomo ndani ya hicho kitabu ni kweli.

Je akijitokeza mtu akakuambia nayo Quran katika idadi ya chapter hizo hizo namo pia kuna mashaka.

Mtu huyo atakuwa ametoa majibu ya kuonesha kweli Quran katika chapter hizo kuna mashaka?

Je atakuwa amethibitisha kuwa ni kweli Quran ina mashaka?

Kama jibu ni hapana, then nini kinachokufanya uone ukosoaji wako kuhusu kitabu kingine uchukuliwe kama ni hoja ya kweli?
Hajielewiii huyuuu
 
Kwakuwa wewe hujaweka hizo chapter hapa ulizodai zina mashaka ili nasisi tujionee na kuthibitisha kuwa unachosema kuhusu mashaka yaliyomo ndani ya hicho kitabu ni kweli.

Je akijitokeza mtu akakuambia nayo Quran katika idadi ya chapter hizo hizo namo pia kuna mashaka.

Mtu huyo atakuwa ametoa majibu ya kuonesha kweli Quran katika chapter hizo kuna mashaka?

Je atakuwa amethibitisha kuwa ni kweli Quran ina mashaka?

Kama jibu ni hapana, then nini kinachokufanya uone ukosoaji wako kuhusu kitabu kingine uchukuliwe kama ni hoja ya kweli?

Unataka nikuwekee mara ngapi ? Kwanini unaandika uongo ?

Usiruke maswali niliyo kuuliza. Jibu maswali niliyo kuuliza ndio ulete yako.

Mwenye kutakiwa kujitoa mashaka ni wewe ambaye unadai hicho kitabu Cha hesabu hakina mashaka. Sasa nilitarajia hicho kitabu unacho, basi fanya kazi niliyo kupa.

Kama hujui pia sio vibaya kukiri hilo, kuliko kupoteza muda.
 
Unataka nikuwekee mara ngapi ? Kwanini unaandika uongo ?

Usiruke maswali niliyo kuuliza. Jibu maswali niliyo kuuliza ndio ulete yako.

Mwenye kutakiwa kujitoa mashaka ni wewe ambaye unadai hicho kitabu Cha hesabu hakina mashaka. Sasa nilitarajia hicho kitabu unacho, basi fanya kazi niliyo kupa.

Kama hujui pia sio vibaya kukiri hilo, kuliko kupoteza muda.
Je akijitokeza mtu akakuambia nayo Quran katika idadi ya chapter hizo hizo namo pia kuna mashaka.

Mtu huyo atakuwa ametoa majibu ya kuonesha kweli Quran katika chapter hizo kuna mashaka?

Je atakuwa amethibitisha kuwa ni kweli Quran ina mashaka?

Kama jibu ni hapana, then nini kinachokufanya uone ukosoaji wako kuhusu kitabu kingine uchukuliwe kama ni hoja ya kweli?
 
Qur'an alitunga jamaaa .mmoja anaitwa mzee mudi afuu sasa akataka watu wamwamini yaaan Acha sasa kama km quruan imekamilika mnasema peponi kuna wanawake 73 kwa wanaume je wanawake wema watapewa nn
Sawa,

Ila Mtume Muhammad hajuwi kusoma wala kuandika je aliwezaje kutunga hali ya kuwa na elimu yoyote?
 
Quruan imekuta maisha yameeendelea watu washajenga mpaka magorofa labda huko maka ndio kulikuwa hakuna maendeleoo Quruan imekuja na imewakuta wakina Aristotle pilato akina Jesus sasa useme etyy imegundua vitu haya imegundua nn Quruan
Kwani Nabii issa (yesu) si alifufua watu kwani kabla yake, Nabii Mussa mbona pia alifufua watu tena sio mmoja

Itoshe kusema qur an ni muujiza wa Mtume wetu Muhammadi (s,a,w).

Kazi yake ilikuwa kulingania dini sio kufanya gunduzi za kisayansi.
 
Back
Top Bottom