Quran na idadi ya watu ulimwenguni

Quran na idadi ya watu ulimwenguni

Zainab j

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
1,817
Reaction score
2,362
Nimepitia Quran tafsiri, nimeshangaa Muhammad karne ya tano huko amewezaje kujua kuhusu wanawake kuwa wengi ulimwenguni kuliko wanaume "

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ مِنْ نَفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ

الَّذِي تَسَاءَلُونَ بِهِ وَالْأَرْحَامَ ۚ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلَيْكُمْ رَقِيبًا
Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi. Na tahadharini na Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaombana, na jamaa zenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaangalieni.
 
nimepitia Quran tafsiri , nimeshangaa Muhammad karne ya tano huko amewezaje kujua kuhusu wanawake kuwa wengi ulimwenguni kuliko wanaume...
Haki hua inachelewa tu kujulikana ila haipotei

Hii mijadala inoendelea humu ndani hufanya watu wengi wakapitie Qur'ani na kujidhihirishia kua ni kweli au uongo kinachoongelewa.

Bahati Nzuri Qur'an haisemi Uongo na mwisho wake hupelekea watu kuukubali ukweli tu
 
Ukweli ni kwamba Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam watakaoingia peponi watapewa nini

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”


UISLAMU UNGEKUWA UMEMPA THAMANI MWANAMKE HIZI VERSE TUSINGEZIONA KWENYE QURAN, HADITH NA SUNNAH

Wanawake wana upungufu katika akili zao - Sahih al-Bukhari 304

Muhammad anawafananisha wanawake wapo sawa na mbwa na punda - Sahih al-Bukhari 511

Mwanaume anaweza kubadilisha mke wake kwa mwingine - Quran 4.20

Wake hawawezi kamwe kufanya vya kutosha kuonyesha shukrani zao kwa waume zao imeandikwa katika Wasifu wa Muhammad na Ibn Ishaq, uk. 644 katika aya ya pili.

Wanawake wanafananishwa na ngamia - Hadithi ya Bukhari 8.73.68

Muhammad considered women as evil and compares marrying a woman with buying a slave or a camel - Abu Dawood, Book 11, Number 2155

Muhammad compares women to devils - Muslim: Book 008, Number 3240
( Muhammad analinganisha wanawake na mashetani - Muslim: Kitabu 008, Nambari 3240)

Wanawake wamepinda kama mbavu. Unapojaribu kuwanyoosha, hupasuka. Kwa hivyo ukitaka kufaidika kutoka kwake, fanya hivyo akiwa bado ana upotovu fulani. Sahih al-Bukhari 7.62.114


Hakuna watu watakaofanikiwa milele wanaomteua mwanamke kuwa kiongozi wao. Sahih al-Bukhari (hadith namba 4425).

No people will ever prosper who appoint a woman in charge of them.(Bukhari Al-Jami as-Sahih, hadith no. 4425)
 
Kwamba wakati anayasema hayo wanawake hawakuwepo???

Kama walikuwepo utofauti kiidadi kati ya wanawake na wanaume ilikuaje, ili tulinganishe na sasa kabla hatujaenda kuamini ulichokiandika.
Hata ulichoandika hakieleweki
 
Ukweli ni kwamba Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam watakaoingia peponi watapewa nini
jamaa mna chuki nyie, mada inazungumzia vingine, we unaongea vingine
 
Ukweli ni kwamba Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam watakaoingia peponi watapewa nini
M nikikuletea ushahidi utasemaje mkuu?

Mbona mna chuki na Uislamu ivi lkn
Sasa sbr nikwambie ushahidi kwenye Qur'an upo na ukiutaka nauweka sasa ivi hlf nikunyamazishe usiongee tena utumbo hpa
 
M nikikuletea ushahidi utasemaje mkuu?

Mbona mna chuki na Uislamu ivi lkn
Sasa sbr nikwambie ushahidi kwenye Qur'an upo na ukiutaka nauweka sasa ivi hlf nikunyamazishe usiongee tena utumbo hpa

Weka ushahidi kupinga kama wanaums hawatapewa mabikra 72 peponi

Pia weka ushahidi kama wanawake wa kiislam peponi watapewa nini ?
 
Wanaume na wanawake wengi.
It means kutoka adam wamezaliwa watu wengi wa jinsia zote.
Hivi madrassa huwa mnalishwa nini kudumaza akili?
 

Attachments

  • 20221107_211502.jpg
    20221107_211502.jpg
    17.5 KB · Views: 5
nimepitia Quran tafsiri , nimeshangaa Muhammad karne ya tano huko amewezaje kujua kuhusu wanawake kuwa wengi ulimwenguni kuliko wanaume...
Ndio maana Africa itabaki Maskini milele. We tend to glorify our differences more than those aspects that unifies us.

Kila kukicha mada ni: Quran Vs Biblia, Muhammad Vs Yesu, Ukristo Vs Uislamu.

Yaani sisi tunachojua ni UDINI kila siku..
 
Weka ushahidi kupinga kama wanaums hawatapewa mabikra 72 peponi

Pia weka ushahidi kama wanawake wa kiislam peponi watapewa nini ?
Swali lko la kwanza niletee huo ushahidi ulosema tutapewa mabikra 72

Hlf swali la pili jibu lake ni hili hapa
( هُمْ وَأَزْوَاجُهُمْ فِي ظِلَالٍ عَلَى الْأَرَائِكِ مُتَّكِئُونَ )

يس (56) Yaseen

Wao na wake zao wamo katika vivuli wameegemea juu ya viti vya fakhari.

( hapa Aya inasema kua waume na wake zao watakua wameegemea kwenye vitu vya fakhari ,Aya hii yaonesha kua waume na wake zao walokua nao duniani wataingizwa pamoja peponi) kama hujui ulisemalo ni bora unyamaze tu kijana jazba au hasira sio suluhisho la matatizo yko

( لَهُمْ فِيهَا فَاكِهَةٌ وَلَهُم مَّا يَدَّعُونَ )

يس (57) Yaseen

Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
 
Ukweli ni kwamba Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam watakaoingia peponi watapewa nini
Mkuu wewe ni empty fresh man kama uislamu haumpi thamani mwanamke weka aya kutoka ktk Quran ikisema hvo, duniani kitabu kinachompa mwanamke thamani ni Quran ,htaki siku lazimishi
 
Back
Top Bottom