Quran na idadi ya watu ulimwenguni

Un
Mkuu pia vipi jua na mwezi kuzunguka Dunia hii imekaaje nayo af Kuna mtu amepinga et tunatumia elimu ya google akat yeye kafundshwa na astadhi wamtaani tu sijui kama ni fact
Unaweza kudhibitisha kwa maandishi kuwa jua na Mwezi kuzunguka dunia?

Maana vinginevyo zitakuwa porojo tu
 
Mokiti

Nadhan unajua kabisa unacholeta hapa ni uzushi

Je unategemea ushirikiano toka kwangu?
 
Allah karuhusu unafiki?kama karuhusu endelea kuwa mnafiki.
 
Kwa staili hii ya kuendelea kuupaka matope Uislam ndo inafanya watu makini kutaman kuujua ukweli.
Allah akuondolee husda.
Hata huko Iran kwa tabia yenu ya kijilipua wengi wameachana na uislam.Unamkatazaje mtu asihoji imani yako kama sio upimbi?
 
Mokiti

Nadhan unajua kabisa unacholeta hapa ni uzushi

Je unategemea ushirikiano toka kwangu?
Kwa hiyo waislamu mmeandika uzushi
Alafu unakimbiliaga mpaka Kuni block kwenye nuzi zako unakwepa ukweli
 
Hapa nilichokielewa ni kwamba haikuwa na maana kwamba wanawake ni wengi ila ni kwamba wote hao wanaume na wanawake ni wengi. Ni hivi "wanaume na wanawake wengi" ni sawa na kusema "Masanja anafuga ng'ombe na mbuzi wengi" ....sasa hapo haimanishi ng'ombe ni wachache na mbuzi ni wengi ila ni kwamba hilo neno wengi limejumuisha hao ng'ombe na mbuzi kwamba ni wengi..

Kwa hiyo pale neno wengi halijawekwa kuonyesha wanawake tu bali na wanaume pia. Tumeelewana nyie watu?
 
Kwa hiyo waislamu mmeandika uzushi
Alafu unakimbiliaga mpaka Kuni block kwenye nuzi zako unakwepa ukweli
Tangu lini nikakukimbia wewe,Kwa hoja gani ulizo nazo?

Sana Sana nitapiga kimya nikuache na upuuzi wako.

Lete hoja toka Qur'an na sio hadith,Qur'an ndio msingi mama

Kama huna andiko uwe na siku njema
 
Acha kupotosha unaelewa maana ya matopeni?
 
Tangu lini nikakukimbia wewe,Kwa hoja gani ulizo nazo?

Sana Sana nitapiga kimya nikuache na upuuzi wako.

Lete hoja toka Qur'an na sio hadith,Qur'an ndio msingi mama

Kama huna andiko uwe na siku njema
Mwamba watu tupo hapa kufatilia mjadala hamna kupiga kimya, unataka kukataa Hadith ni kwamba unashindwa kuzitetea ama ni vipi! Zote zenu fafanua bila kuchoka
 
Mwamba watu tupo hapa kufatilia mjadala hamna kupiga kimya, unataka kukataa Hadith ni kwamba unashindwa kuzitetea ama ni vipi! Zote zenu fafanua bila kuchoka
Hadith nyingi ni uzushi

Hadith huwa zinaendana Kwa karibu Sana na mafundisho ya Qur'an

Ebu niambie,hadith inasema jua linaenda kusujudia kiti cha Allah,je mambo kama haya ni ya kujadili kweli?
 
Un
Unaweza kudhibitisha kwa maandishi kuwa jua na Mwezi kuzunguka dunia?

Maana vinginevyo zitakuwa porojo tu
Sura 36:37-40 inasema, "Na ishara yao ni usiku: Tulijitoa pale toka mchana, na tazama wakazamishwa kwenye giza; 38 na jua linafuata mkondo wake wa kawaida kwa muda liliopangiwa; hii ni amri yake (yeye), aliyeinuliwa kwenye nguvu, yeye ajuaye vyote
 
Kama
Hili lipo wazi mbona,wanabisha mpaka kutaka kupigana na aya unawapa wanaikataa.
Kama wanaikataa basi ujue wapo sahihi kwasababu itakuwa sio Aya

Mara nyingi mtu anasema Qur'an 1:56 inasema hivi lkn ukiangalia kifungu halisi hakisemi hivyo

Je hapo unawemaje
 
Hayo ni matusi au nakuambia upuuzi ulio nao

Lete hoja weka mezani tujadili lkn sio unaongea mambo ya kusadikika

Kama huo sio upuuzi ni nini?
Ayo mambo ya kusadikia hayapo kwenye Quran? Au Kuna vitu hamvifati?
 
ENYI VIJANA WA MTUME MSIOTUMIA AKILI.

AGIZO LA MTUME HADI LEO HALITEKELEZEKI.

WATANZANIA TUPO MILIONI 61.

Wanawake 31.
Wanaume 30.
Wasioolewa 10.

Ili Kila mwanaume aoe wanawake 4 maana yake 30×4= 120.

Wanawake walitakiwa wawe Milioni 120
Ili Kila mwanaume aoe wake 4.

AGIZO LA MTUME HALITEKELEZEKI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…