Quran na idadi ya watu ulimwenguni

Quran na idadi ya watu ulimwenguni

Mkuu mbona lipo wazi tu hilo , bibilia ni kitabu chenye madhaifu lukuki , unaweza chukua vitabu vyote vya dini ukivijumuisha ukashindanisha na Qur-an basi lazima upigwe zauso , hebu angalia dini ya uislamu ilivyo simplify mambo ya kijamii tena ki busara zaidi huwezi kutoka ktk imani nyingine mfano mdogo chukua suala la kuoa(ndoa) ktk uislamu na ukristo ndio utajua kuwa uislamu upo complete
Kwa Nini Muhammad aliiba character wa wayahudi akafanya wake ? Na akawabadili wawe waislamu?
 
Mkuu mbona lipo wazi tu hilo , bibilia ni kitabu chenye madhaifu lukuki , unaweza chukua vitabu vyote vya dini ukivijumuisha ukashindanisha na Qur-an basi lazima upigwe zauso , hebu angalia dini ya uislamu ilivyo simplify mambo ya kijamii tena ki busara zaidi huwezi kutoka ktk imani nyingine mfano mdogo chukua suala la kuoa(ndoa) ktk uislamu na ukristo ndio utajua kuwa uislamu upo complete
Mkuu tuseme ukweli vitabu vyote vya dini vina mapungufu makubwa mamb mengi tu kwny Quran yako wrong n kama hypothesis za kisayansi walkua na idea but wako wrong ila ukijudge Ili kwny udini utaona liko sahihi mfano Quran inakataza kuzin Aya mme mmoja wake wanne Aya angalia ratio apo how this is possible af kusiwe na uzinzi ila ukisoma kidin utasema sio kila mtu lazima aoe wanne n kwa mwenyw uwezo kuwamudu lakin vipi kila mtu akiweza
 
Mkuu tuseme ukweli vitabu vyote vya dini vina mapungufu makubwa mamb mengi tu kwny Quran yako wrong n kama hypothesis za kisayansi walkua na idea but wako wrong ila ukijudge Ili kwny udini utaona liko sahihi mfano Quran inakataza kuzin Aya mme mmoja wake wanne Aya angalia ratio apo how this is possible af kusiwe na uzinzi ila ukisoma kidin utasema sio kila mtu lazima aoe wanne n kwa mwenyw uwezo kuwamudu lakin vipi kila mtu akiweza
Yapi yako wrong katika Qur'an mkuu
 
Jua Lina zama kwenye chemchem ya matope ok chukulia kisayansi io hypothesis n true or false
Jua linazunguka Dunia?
Jua na mwez viko sawa?
IMG_20221112_164607_1.jpg

Simple logic tu
 
Mkuu tuseme ukweli vitabu vyote vya dini vina mapungufu makubwa mamb mengi tu kwny Quran yako wrong n kama hypothesis za kisayansi walkua na idea but wako wrong ila ukijudge Ili kwny udini utaona liko sahihi mfano Quran inakataza kuzin Aya mme mmoja wake wanne Aya angalia ratio apo how this is possible af kusiwe na uzinzi ila ukisoma kidin utasema sio kila mtu lazima aoe wanne n kwa mwenyw uwezo kuwamudu lakin vipi kila mtu akiweza
Mkuu ikiwa kauli yako hapo ipo juu ni sahihi basi uwezo wako wa kufikiri ni duni sana hebu fikiria ikiwa wanaume wawili watamuoa mwanamke mmoja na hyo mwanamke azae mtoto , je hyo mtoto baba atakuwa nani kati ya hao wanaume wawili?, yaani automatically it'simpossible kwa sababu baba ni mbegu hvo mwanaume kuoa mke zaidi ya 1 ni matakwa ya mungu
 
Jua Lina zama kwenye chemchem ya matope ok chukulia kisayansi io hypothesis n true or false
Jua linazunguka Dunia?
Jua na mwez viko sawa?
Mkuu hebu jaribu kufikiria kidogo na kuelewa kidogo juu ya hoja yako ;
Hyo habari anasimuliwa mtume karne nyingi nyuma na hicho kisa cha karne lukuki huko na hvo ndivo kwa macho na technology yao walichokua wanakiona , jua kuzama matopeni nisawa nawakati wa jua kali sna kuona maji ktk barabara , kwa asiye jua hawezi kuielewa hali hyo lakini MACHO ndio yanaona hvo


Ndani ya Qur-an kuna sayansi kubwa lakini syo kwenye bibilia kama una bishabisha tu na mtume ni mwanasayans bora kuwahi kutokea
 
Kwa Nini Muhammad aliiba character wa wayahudi akafanya wake ? Na akawabadili wawe waislamu?
Character yupi aliye muiba?, alafu mkuu usisahau kuwa hao mayahudi walilaaniwa , pia hao mayahudi ndio waliomuua yesu pia usisahau yesu alishindwa vibaya kwa mujibu wa bibilia yenyewe maana walimuua mchana kweupe ila nisamehe mkuu
 
Jua Lina zama kwenye chemchem ya matope ok chukulia kisayansi io hypothesis n true or false
Jua linazunguka Dunia?
Jua na mwez viko sawa?
Mkuu mkuu

Kwahiyo hayo ndo umeona makosa?
Huo ni uelewa mbaya lakini Qur'an haina kosa lolote.

Imesemwa jua limezama katika chem chem nyeusi,Ile ni Bahari nyeusi/black sea

Sehemu jua lilipokuwa linakuchwa ilikuwa ni upande WA baharini,na kwakuwa dunia ni duara basi wakati jua linazama Kwa Masafa ya mbali unaliona kana kwamba linazama baharini kwakuwa lipo uelekeo ule na hiyo ndo maana yake mkuu.

Kwahiyo kama hayo ndo ulichukulia kuwa makosa basi ujue wewe ndio umeelewa vibaya.

Shukrani
 
Mkuu mkuu

Kwahiyo hayo ndo umeona makosa?
Huo ni uelewa mbaya lakini Qur'an haina kosa lolote.

Imesemwa jua limezama katika chem chem nyeusi,Ile ni Bahari nyeusi/black sea

Sehemu jua lilipokuwa linakuchwa ilikuwa ni upande WA baharini,na kwakuwa dunia ni duara basi wakati jua linazama Kwa Masafa ya mbali unaliona kana kwamba linazama baharini kwakuwa lipo uelekeo ule na hiyo ndo maana yake mkuu.

Kwahiyo kama hayo ndo ulichukulia kuwa makosa basi ujue wewe ndio umeelewa vibaya.

Shukrani
Basi hiyo ni sahii kwa uarabuni sio mtu wa morogoro umwambie ivo
 
Si
Basi hiyo ni sahii kwa uarabuni sio mtu wa morogoro umwambie ivo
Sio sahihi kivipi mkuu?

Hivi wewe umeshawahi kukaa maeneo ya ziwani au baharini,kama ndio je jua likizama linaonekaje Kwa mbali,kama haukai maeneo hayo basi sikulaumu sio kosa lako.

Shukrani.
 
Si
Sio sahihi kivipi mkuu?

Hivi wewe umeshawahi kukaa maeneo ya ziwani au baharini,kama ndio je jua likizama linaonekaje Kwa mbali,kama haukai maeneo hayo basi sikulaumu sio kosa lako.

Shukrani.
Hahahaha mkuu ndo maana nkauliza mtu wa morogoro unamwambiaje Ivo akuelewe akat sio wote wanaona ivo Aya mm nasema jua linazama miliman bisha
 
Si
Sio sahihi kivipi mkuu?

Hivi wewe umeshawahi kukaa maeneo ya ziwani au baharini,kama ndio je jua likizama linaonekaje Kwa mbali,kama haukai maeneo hayo basi sikulaumu sio kosa lako.

Shukrani.
Anae ongea kwenye Koran ni Allah alitakiwa aseme kweli ,

Kumbuka mpaka Muhammad kasisitiza jua tusipo liona linakuwa limeenda kusujudu kwenye kiti Cha Allah na chini ya kiti Cha Allah Kuna maji
 
Anae ongea kwenye Koran ni Allah alitakiwa aseme kweli ,

Kumbuka mpaka Muhammad kasisitiza jua tusipo liona linakuwa limeenda kusujudu kwenye kiti Cha Allah na chini ya kiti Cha Allah Kuna maji
Bora umenisaidia mkuu kwanini azungumzie watu wa sehemu moja tu
 
Si
Sio sahihi kivipi mkuu?

Hivi wewe umeshawahi kukaa maeneo ya ziwani au baharini,kama ndio je jua likizama linaonekaje Kwa mbali,kama haukai maeneo hayo basi sikulaumu sio kosa lako.

Shukrani.
Imesimuliwa Abu Dharr:
Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
 
Si
Sio sahihi kivipi mkuu?

Hivi wewe umeshawahi kukaa maeneo ya ziwani au baharini,kama ndio je jua likizama linaonekaje Kwa mbali,kama haukai maeneo hayo basi sikulaumu sio kosa lako.

Shukrani.
Mkuu pia vipi jua na mwezi kuzunguka Dunia hii imekaaje nayo af Kuna mtu amepinga et tunatumia elimu ya google akat yeye kafundshwa na astadhi wamtaani tu sijui kama ni fact
 
Si
Sio sahihi kivipi mkuu?

Hivi wewe umeshawahi kukaa maeneo ya ziwani au baharini,kama ndio je jua likizama linaonekaje Kwa mbali,kama haukai maeneo hayo basi sikulaumu sio kosa lako.

Shukrani.
Imesimuliwa Abu Dharr:
Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
Vol. 6, Book 60, Hadith 326
 
Tatizo ni kua waislam kitu kikisha husu uislam huezi discuss nao ata kiwe na mapungufu Gani. Angalau wa kristo Kuna mda wanakaa wanaona ivi vitu haviko sawa ula upande wa pili yn ni ushabiki hawatakiw tumia utashi wao
Wapo kwa sababu ya ushabiki wanakataa lugha iliyoandikwa ndani ya quran sio kiarabu mpaka unashangaa wanachokataa!
 
Back
Top Bottom