Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Huyo jamaa ni mwehu tu, amesahau kilichowakuta wale wachora vikatuni kule Ufaransa, atavuna alichopanda.Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki.
https://www.facebook.com/Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya sweden
Acha uchizi kwani alivyo ichoma hiyo ndio quran imeishaAllah hawezi kujipigania ?
Why asimgeuze panya huyo mchoma quran
Au ampige makofi kutoka mbinguni
Ndivyo chanzo cha habari kinachosema boss au umeamua ku guess tu?Hasira ya kukataliwa kujinga Nato na Uturuki wanahamishia kwenye mambo ya kidini..
Walifanyeje mkuu?Huyo jamaa ni mwehu tu, amesahau kilichowakuta wale wachora vikatuni kule Ufaransa, atavuna alichopanda.
Amechoma kitabu Cha mnyaazi MunguWampe ulinzi uyo baharia ni swala la muda tu
Uturuki mbona yupo NSTO tayari, aliruhusu Sweden na Finland kujiunga pia NATO baada ya kukataa mwanzoHasira ya kukataliwa kujinga Nato na Uturuki wanahamishia kwenye mambo ya kidini..
Allah ajipiganie kwa shida gani alonayo? Are you sane?Allah hawezi kujipigania ?
Why asimgeuze panya huyo mchoma quran
Au ampige makofi kutoka mbinguni