Quran yachomwa moto Sweden

Quran yachomwa moto Sweden

ichomwe tu
ya nini kwani
ila wakatolik siyo wakristo. wakristo tunatumia biblia tu, ila wao wanaenda kinyume na biblia
Wakatoliki ndio wakristo, wamekuletea bibilia, na mafundisho kibao. Mtu akitaka kuupinga ukristo anaupiga ukatoliki. Nyie visebengo wengine hamna umuhimu na wala sio wakrtisto zaidi ya kupayukapayuka.
 
Dhaif , ni uongo yani haijakizi vigezo vya kuwa kweli (sahih)
Kijana hii ni elimu na tunaisoma kila siku. Unafikiri hii Biblia.

Niambie nani amekwambia ya kuwa dhaifu ni uongo ?

Nakupa dondoo tu kijana katika Elimu ya Hadithi kina elimu inaitwa "Ilaal Al Hadithi" hiyo inaangazia juu ya makosa ya ndani kabisa ya Hadithi ambayo ukiiona hadithi hiyo husemwa ni sahihi. Sasa Hadithi ya uongo huitwa "Hadithi Al Maudhui" yaani iliyo zuliwa au kutengenezwa. Hadithi sahihi nazo zimegawanyika.

Sasa swali langu la msingi ni kuwa nani amekuambia Hadithi dhaifu ni Hadithi ya uongo ?
 
Hadith dhaif unaweza kutumia kama rejea , au kama sunah?
Haitimiki kama rejea ila hutumika kwa ajili ya kuanmrisha jambo au kukataza jambo na hapa wanazuoni wametofautiana.

Maana ya Hadithi dhaifu huingia katika makosa au udhaifu wa mpokezi wa Hadithi hiyo, yaani ikiwa na dosari Kuna wakati Hadithi inaweza kuwa na maana sawa na sahihi ila ikawa dhaifu kwa kuwepo mpokezi ambaye ana dosari katika hifadhi yake ya mambo au akawa hajulikani au akawa anasifika kwa tabia mbaya, mapokezi yake huduoofishwa kadhalika.

Kwahiyo kwa ufupi Hadithi dhaifu siyo maana yake ni uongo.

Huwa nawaambia kila siku wasio kuwa Waislamu laiti kama misingi tunayoitumia sisi katika kuhakiki habari ingetumika kwenye kuhakiki Biblia yenu hakuna kingesalia hata kimoja katika Biblia yenu.
 
Kijana hii ni elimu na tunaisoma kila siku. Unafikiri hii Biblia.
Yani kila ukijibu lazima ukimbilie biblia , biblia iache ni kina kirefu wewe dili na kitabu kidogo kama kipeperushi

Dhaif , simple ni uongo huwezi badili hilo mpaka unakufa

Nilikuuliza ilikuwaje hadith za uongo zika chomekwa kwenye kitabu sahih ?
 
Yani kila ukijibu lazima ukimbilie biblia , biblia iache ni kina kirefu wewe dili na kitabu kidogo kama kipeperushi

Dhaif , simple ni uongo huwezi badili hilo mpaka unakufa

Nilikuuliza ilikuwaje hadith za uongo zika chomekwa kwenye kitabu sahih ?
Nimekuuliza nani amekwambia Hadithi dhaifu ni uongo ? Hujajibu hili swali.

Kingine Biblia mpaka unakufa huwezi kuthibitisha ukweli wa kilicho andikwa mule ndani.
 
Back
Top Bottom