Wakatoliki ndio wakristo, wamekuletea bibilia, na mafundisho kibao. Mtu akitaka kuupinga ukristo anaupiga ukatoliki. Nyie visebengo wengine hamna umuhimu na wala sio wakrtisto zaidi ya kupayukapayuka.ichomwe tu
ya nini kwani
ila wakatolik siyo wakristo. wakristo tunatumia biblia tu, ila wao wanaenda kinyume na biblia