Quran yachomwa moto Sweden

Quran yachomwa moto Sweden

Hujawahi kujibu , na hakuna muislamu amewahi kujibu
  • Kuhusu biblia nimekwambia leta wakristo wanaosema ni uongo umeshindwa!
  • Maandiko ya waislamu ni waislamu wengi tu wanasema kuna maandiko ya uongo ndani ya vitabu vinavyoitwa sahih , mpaka wewe umekiri na wengi humu wanakiri kuna uongo kwenye maandiko ya waislamu
Wewe una matatizo kichwani, yaani Kitabu kiitwe sahih halafu kiwe na maandishi ya uongo!! Huyo muislam aliyekiri hayo atakuwa na Akili mbovu Kama zako si bure
 
Wewe una matatizo kichwani, yaani Kitabu kiitwe sahih halafu kiwe na maandishi ya uongo!! Huyo muislam aliyekiri hayo atakuwa na Akili mbovu Kama zako si bure
Huyo ni Kisai akili mbovu ni zenu waislam ambao mnadai kitabu Sahih kina uongo
 
Ni fedhea kubwa kwa waislamu mnakiri hadharani vitabu vyenu vina uongo mkubwa ndani yake , kumbuka ni waislamu wenyewe na sio imani nyingine , mpaka humu ndani mpo andiko lenu likiweka mnasema wazi ni la uongo ila lipo kwenye kitabu sahih , nifunge hoja kwa hili karekebisheni uongo wenu
Acha uzuzu we kuhani
Ni andiko lipi lipo kwenye Kitabu sahih Kisha waislam wakakiri ni la uongo? Ewe mgalatia uliyekosa akili ni Nani aliyekuroga?
 
Kingine usicho kijua ni kuwa hakuna kitabu kingine sahihi zaidi hapa duniani baada ya Qur'aan ni Sahihi Al Bukhari. Sasa jiulize mtu ambaye amenukuu Hadithi zaidi Elfu Hadithi dhaifu hazizidi 40.
Kariobangi huyu hapa kisai kadai kitabu cha sahih kina uongo yani dhaif kama 40 hivi
 
Wewe una matatizo kichwani, yaani Kitabu kiitwe sahih halafu kiwe na maandishi ya uongo!! Huyo muislam aliyekiri hayo atakuwa na Akili mbovu Kama zako si bure
Kamshambulie muislamu mwenzako aliesema kitabu kinaitwa sahih na kina hadith za uongo
 
Kariobangi huyu hapa kisai kadai kitabu cha sahih kina uongo yani dhaif kama 40 hivi
Acha kujifyatua akili wewe mbona wapindisha hoja? Kakwambia Hadith sahihi zaidi elewa uambiwacho ukaidi na uzuzu hautokusaidia zaidi ya kukuvua nguo na kukudhalilisha
 
Acha kujifyatua akili wewe mbona wapindisha hoja? Kakwambia Hadith sahihi zaidi elewa uambiwacho ukaidi na uzuzu hautokusaidia zaidi ya kukivua nguo na kukudhalilisha
Tumemaliza , umeona wazi kitabu kinaitwa sahih ila mnasema kuna uongo , usirudie tena
 
Katibiwe mirembe wewe mm sio Psychiatrist
Acha makasiriko , waislamu mnaita kitabu sahih na kina uongo

Kisai said"Kingine usicho kijua ni kuwa hakuna kitabu kingine sahihi zaidi hapa duniani baada ya Qur'aan ni Sahihi Al Bukhari. Sasa jiulize mtu ambaye amenukuu Hadithi zaidi Elfu Hadithi dhaifu hazizidi 40."
 
Mpaka Sasa umeshindwa kuthibitisha madai yako zaidi ya kujitoa Akili na ufedhuli
Kisai said"Kingine usicho kijua ni kuwa hakuna kitabu kingine sahihi zaidi hapa duniani baada ya Qur'aan ni Sahihi Al Bukhari. Sasa jiulize mtu ambaye amenukuu Hadithi zaidi Elfu Hadithi dhaifu hazizidi 40."

nani alichomeka hadith dhaifu 40 kwenye kitabu sahih? na kitabu gani cha hadith tunaweza kukiamini kama sahih bhukar ina dhaif
 
Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki.

Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya sweden

ichomwe tu
ya nini kwani
ila wakatolik siyo wakristo. wakristo tunatumia biblia tu, ila wao wanaenda kinyume na biblia
 
Kariobangi huyu hapa kisai kadai kitabu cha sahih kina uongo yani dhaif kama 40 hivi
Sasa Hadithi dhaifu ndiyo Hadithi za Uongo ? Kijana nani alikwambia haya ?

Umeona sasa kwa ujinga wako unawazushia watu uongo ? Nimeandika Hadithi dhaifu wewe unasema Hadithi za uongo. Wapi na wapi ?
 
Kisai said"Kingine usicho kijua ni kuwa hakuna kitabu kingine sahihi zaidi hapa duniani baada ya Qur'aan ni Sahihi Al Bukhari. Sasa jiulize mtu ambaye amenukuu Hadithi zaidi Elfu Hadithi dhaifu hazizidi 40."

nani alichomeka hadith dhaifu 40 kwenye kitabu sahih? na kitabu gani cha hadith tunaweza kukiamini kama sahih bhukar ina dhaif
Sasa Hadithi dhaifu ndiyo Hadithi za uongo ? Umeona ulivyokuwa mjuaji mpaka unawazulia watu uongo ?
 
Back
Top Bottom