Quran yachomwa moto Sweden

Quran yachomwa moto Sweden

Hilo swali dogo nimeshakujibu zaidi ya mara ngapi au Leo hii ndiyo mara ya kwanza kuuliza ? Nataka kujadiliana na watu wakweli na wenye kutaka kujifunza. Rejea mijadala ya nyuma usome majibu niliyo kupa.

Sasa hivi nataka hoja mpya. Naona umekimbia maswali yangu juu ya ukweli kuhusu Biblia.
Hujawahi kujibu , na hakuna muislamu amewahi kujibu
  • Kuhusu biblia nimekwambia leta wakristo wanaosema ni uongo umeshindwa!
  • Maandiko ya waislamu ni waislamu wengi tu wanasema kuna maandiko ya uongo ndani ya vitabu vinavyoitwa sahih , mpaka wewe umekiri na wengi humu wanakiri kuna uongo kwenye maandiko ya waislamu
 
kafumuaneni marinda huku mkisubiri mabikra 72
Haya sasa sijui hapo wewe ni yupi
JamiiForums1563080741.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Maandiko ya waislamu ni waislamu wengi tu wanasema kuna maandiko ya uongo ndani ya vitabu vinavyoitwa sahih , mpaka wewe umekiri na wengi humu wanakiri kuna uongo kwenye maandiko ya waislamu
Sasa tatizo liko wapi ? Ndiyo ujue ya kuwa Maandiko ya Uislamu yamehifadhiwa mpaka kujua lipi la uongo na lipi sahihi maana ni hifadhi hiyo. Sasa kwenu hili na huku uhalisia maandiko yenu zaidi ya asilimia 70 ni uongo. Lakini hamna muda wa kuhakiki sababu hiyo misingi hamna.
 
Sasa tatizo liko wapi ? Ndiyo ujue ya kuwa Maandiko ya Uislamu yamehifadhiwa mpaka kujua lipi la uongo na lipi sahihi
Tumemaliza , waislamu ndio mnamaandiko ya uongo mkiwa mmeyaweka kwenye vitabu mnaviita sahih laikini ndani yake kuna uongo mkubwa , ni nyie wenyewe mmekiri , case closed

Kuwashahuri tu kaeni chini mtengeneze kitabu sahih cha sahih kisiwe na uongo ndani maana mpaka sasa ungo bado upo
 
Tumemaliza , waislamu ndio mnamaandiko ya uongo mkiwa mmeyaweka kwenye vitabu mnaviita sahih laikini ndani yake kuna uongo mkubwa , ni nyie wenyewe mmekiri , case closed

Kuwashahuri tu kaeni chini mtengeneze kitabu sahih cha sahih kisiwe na uongo ndani maana mpaka sasa ungo bado upo
Kingine usicho kijua ni kuwa hakuna kitabu kingine sahihi zaidi hapa duniani baada ya Qur'aan ni Sahihi Al Bukhari. Sasa jiulize mtu ambaye amenukuu Hadithi zaidi Elfu Hadithi dhaifu hazizidi 40. Jiulize huyo ni mtu wa aina gani ukiangalia sisi wanadamu tuna madhaifu mengi sana.

Ila sababu Elimu haiongopi Leo hii wasomi wenu wamejaribu kupekua pekua na kujua uongo mwingi mfano Leo hii hajulikani nani aliandika Injili ya Marko wala Injili ya Luka. Hii ni natija akili na maumbile. Maumbile tu yenyewe kwa asili yake yanalazimisha Biblia ipekuliwe sababu imeandikwa wakati Yesu hayupo wala wanafunzi wake hawapo. Kati kati walikuwepo maadui wa waja wema na mengine mengi.

Sasa mkiona mmekaa tu hamjishughulishi na kuhakiki maandiko yenu ni ishara ya kuwa nyinyi na Wanyama (Hayawani) hamna tofauti yaani hamna akili.

Nakomea hapa, kazi yangu bila shaka nimemaliza.
 
Sasa mkiona mmekaa tu hamjishughulishi na kuhakiki maandiko yenu ni ishara ya kuwa nyinyi na Wanyama (Hayawani) hamna tofauti yaani hamna akili.
Ni fedhea kubwa kwa waislamu mnakiri hadharani vitabu vyenu vina uongo mkubwa ndani yake , kumbuka ni waislamu wenyewe na sio imani nyingine , mpaka humu ndani mpo andiko lenu likiweka mnasema wazi ni la uongo ila lipo kwenye kitabu sahih , nifunge hoja kwa hili karekebisheni uongo wenu
 
Ni fedhea kubwa kwa waislamu mnakiri hadharani vitabu vyenu vina uongo mkubwa ndani yake , kumbuka ni waislamu wenyewe na sio imani nyingine , mpaka humu ndani mpo andiko lenu likiweka mnasema wazi ni la uongo ila lipo kwenye kitabu sahih , nifunge hoja kwa hili karekebisheni uongo wenu
Kijana mbona unarudia rudia jambo ambalo liko wazi ? Hiyo ndiyo tofauti yetu na nyinyi.

Hapa ngoja nikutajie kitabu kabisa tafuta kitabu kiitwacho "Silsila ahadith Dhwaifa" Cha Sheikh Muhammad Nasrudiin Al Albaaniy. Amekusanya Hadithi dhaifu zote. Kwetu sisi ni haramu na ni madhambi kumzulia uongo mtume. Hii ndiyo maana ya Uislamu kuwa umehifadhiwa kutokana na uchafu na mikono ya watu.

Bali sisi tunajivunia hili sababu tumepewa na Allah Elimu ambayo hakuna wengine wanayo, Elimu hiyo inaitwa "Mustwalahul Hadith" watu wanasomea kuanzia ngazi ya shahada, uzamivu na uzamili kwa formal education na kwa informal education tunasomeshwa na walimu wetu misikitini. Elimu hii inaangalia Hadithi za Mtume.

Kwahiyo nitazidi kukuona mjinga ukiendelea na hili sababu nimeshaliweka wazi mno.
 
Hii ni quote yako

Hakuna haja ya kwenda PM sababu ameweka hadharani na mimi naweka hadharani.
Sasa ahadi Iko wapi ? Unajua Kiswahili ? Au una Elimu yoyote kuhusu lugha ? Hiyo kauli inaongelea wakati gani ? Uliopo ujao au uliopita au Amri ?

Kijana siyo kila mtu wa kujadiliana nae, ukijadiliana na mimi hakikisha mambo ya lugha unayazingatia.
 
Sasa ahadi Iko wapi ? Unajua Kiswahili ? Au una Elimu yoyote kuhusu lugha ? Hiyo kauli inaongelea wakati gani ? Uliopo ujao au uliopita au Amri ?

Kijana siyo kila mtu wa kujadiliana nae, ukijadiliana na mimi hakikisha mambo ya lugha unayazingatia.
Wapi ulipoiweka hoja hadharani?
 
Jibu maswali niliyo kuuliza. Huu utoto ndiyo huwa siutaki. Umesema nimeahidi.
Na nimekuoneshea uliposema unaiweka

Sasa mimi sijaona hapo ulipoiweka ni wapi, ndio maana nakuuliza wapi ulipoiweka hadharani kama ulivyosema?
 
Na nimekuoneshea uliposema unaiweka

Sasa mimi sijaona hapo ulipoiweka ni wapi, ndio maana nakuuliza wapi ulipoiweka hafharani kama ulivyosema?
Rekebisha kwanza uliposema nimeahidi. Usilete utoto kijana. Kisha jibu maswali niliyo kuuliza.

Majibu ya maswali yako au swali lako rejea pale ulipo ni nukuu kwa mara ya kwanza.
 
Rekebisha kwanza uliposema nimeahidi. Usilete utoto kijana. Kisha jibu maswali niliyo kuuliza.

Majibu ya maswali yako au swali lako rejea pale ulipo ni nukuu kwa mara ya kwanza.
Sirekebishi,

Kwasababu ili isionekane ni ahadi unatakiwa uoneshe wapi umetoa majibu uliyosema unayatoa hadharani

Mpaka muda huu hakuna sehemu uliyotoa majibu ya hoja ulizosema unatoa hadharani

that's is not only a promise but a fake promise
 
Sirekebishi,

Kwasababu ili isionekane ni ahadi unatakiwa uoneshe wapi umetoa majibu uliyosema unayatoa hadharani

Mpaka muda huu hakuna sehemu uliyotoa majibu ya hoja ulizosema unatoa hadharani

that's is not only a promise but a fake promise
Nimecheka sana, shida ya kujadiliana na watu ambao hamjabalehe katika hoja na kujenga hoja.

Nikikuuliza ahadi ipo katika wakati gani ? Hujajibu hili swali siyo kwamba unaweza bali huwezi kujibu.

Ulitakiwa usome nilichokiandika kilikupa jibua swali ulilo uliza Sasa lakini kwa ujinga na ujuaji wako hukuona jibu. Nilipo kupa dondoo za majadiliano huko nyuma maana yake nishamjibu zaidi ya mara Moja, ndiyo maana nikakuwekea nukta husika.

Shida ya kuparamia na vitu kichwa mchunga, yule mdau nilimpa muongozo namna nzuri ya kujadiliana na muhusika sababu namjua. Sasa uwe unasoma na kudhibiti mjadala au hoja wapi imetoka, ungekuwa makini usingeuliza maswali ambayo majibu yake yapo tayari.

Acha kupotezea watu muda.
 
Nimecheka sana, shida ya kujadiliana na watu ambao hamjabalehe katika hoja na kujenga hoja.

Nikikuuliza ahadi ipo katika wakati gani ? Hujajibu hili swali siyo kwamba unaweza bali huwezi kujibu.

Ulitakiwa usome nilichokiandika kilikupa jibua swali ulilo uliza Sasa lakini kwa ujinga na ujuaji wako hukuona jibu. Nilipo kupa dondoo za majadiliano huko nyuma maana yake nishamjibu zaidi ya mara Moja, ndiyo maana nikakuwekea nukta husika.

Shida ya kuparamia na vitu kichwa mchunga, yule mdau nilimpa muongozo namna nzuri ya kujadiliana na muhusika sababu namjua. Sasa uwe unasoma na kudhibiti mjadala au hoja wapi imetoka, ungekuwa makini usingeuliza maswali ambayo majibu yake yapo tayari.

Acha kupotezea watu muda.
Sasa hapo unakuwa umeandika nini?

Unakubali ulichokiandika ni ahadi ila umekomaa kwenye wakati, does it matter?

Nimekupa challenge ndogo tu hapo kuwa ili kauli yako isionekane ni ahadi basi kwenye post yako ile ile onesha paragraph ulipojibu hoja hadharani za mdau kama ulivyosema

Hilo limekushinda...
 
Sasa hapo unakuwa umeandika nini?

Unakubali ulichokiandika ni ahadi ila umekomaa kwenye wakati, does it matter?

Nimekupa challenge ndogo tu hapo kuwa ili kauli yako isionekane ni ahadi basi kwenye post yako ile ile onesha paragraph ulipojibu hoja hadharani za mdau kama ulivyosema

Hilo limekushinda...
Poa.
 
Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki.

Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya sweden

Bro hata Indonesia walichoma Bible kibao back in the dayz au umesahau????????? Duniani kuna watu hawapendi dini za wenzao!!!!Wakristo hawawapendi waislamu na waislamu hawawapendi wakrsto tunaishi kinafiki!!!Huo ndio ukweli japokua watu wengi wanaukataa!!!!!!Unafiki na chuki na ubaguzi ndio sifa kuu ya sisi wanadamu wa dunia hii
 
Back
Top Bottom