Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namkumbuka kwa wimbo wa Mwanza na Nalia Mume.
Mimi na Mume wangu tulianza nae Mwanza,
Harusi ikafanyika Mwanza
Baada ya siku chache, tukaja nao ko Darsalama
Naacha kwetu kwa baba na mama na furaha yote....
......
Baada ya siku chache, simwoni mume nyumbani...
......
Wanaume wa sasa hawana uaminifu,
Huwadanganya wana wa wenzao
KIFO OOH KIFO HAKINA HURUMA!!!!!!
Kifo kifo siku yangu ikifika kifo nitaarifu mapema , niage familia, wanangu,
Mke wangu, pesa zangu nizigawanye zilizobaki nizile mwenyewe, kifo nakusubiri kwa hamu,
Kifo nakwenda dukani kariakoo nanunua shati jipya, suruali mpya, koti jipya, tai mpya, soksi mpya,
Kiatu kipya, kifo nitanunua sanda yangu mwenyewe, kifo nitawalipia watu wanichimbie kaburi yangu ningali hai
Sipendi kuzikwa na mtu nitajizika Mwenyewe kwangu hakuna matanga, hakuna kilio, hakuna uji.
Kifo nakwenda breweries nanunua kreti 20, mwarubaini kwa wingi,
Michemsho kwa wingi, migebuo kwa wingi, wanzuki kwa wingi chimpumu kwa wingi,
Kaya kwa sela, kifo nitafanya pati nitaita watu binafsi wote, marafiki zangu wote,
Kifo niambie tukutane wapi hata Muhimbili ntakwenda mwenyewe kwa miguu
athumani eeeh vipi mambo valuvalu
Duh! jamaa ana wimbo mmoja sijui jina lake lakini ni wa promotion ya condom, baadhi ya maneno yake " mambo mambo kwa soksi....shangazi na mjomba kwa soksi...." humo ni kufuru tu....
Namkumbuka kwa wimbo wa Mwanza na Nalia Mume.
Mimi na Mume wangu tulianza nae Mwanza,
Harusi ikafanyika Mwanza
Baada ya siku chache, tukaja nao ko Darsalama
Naacha kwetu kwa baba na mama na furaha yote....
......
Baada ya siku chache, simwoni mume nyumbani...
......
Wanaume wa sasa hawana uaminifu,
Huwadanganya wana wa wenzao
ndugu muacici, nina neno kidogo na ile comment ya kitabu cha ayubu. tafadhari zingatia kuwa kitabu cha ayubu si cha historia au mambo ya nyakati (matukio/chronicles).......... ni kitabu cha utenzi kinachokusudia kuibua asili, sifa na tabia ya Mungu.......... simulizi la shetani kama ulivyolinukuu liko katika prologe ya hicho kitabu (3-42:6). ........ na kibwagizo chake kiko kwenye epilogue yake (42:7 hadi mwisho)............ ila maudhui ya kitabu chenyewe yako sura za 3-42:6 na yameandikwa katika mtindo wa utenzi unawahusu ayubu na marafiki zake watatu (elifaaz, zofari na bildad) mwishonimwishoni anaibuka kijana mmoja mdogo lakini mwenye hekkima kubwa (elihu) kushinda hata ya ayubu na rafiki zake wote. anaongea mambo yanayokaribia kufanana na ya Mungu mwenyewe na hatimaye anasababisha ayubu akiri alipopotoka na kutubu.......... tafadhari soma taratibu na Mungu akusaidie kuelewa nasema nini na kama utapata tatizo, nitafurahi kukusaidia........... unaweza kutumia PM........... ubarikiwe..........
RIP Dr Remmy..............