Umesahau ripot ya W.H.O kuna watanzania laki 4 wanamatatizo ya akilikweli Tanzania vichaa wameongezeka no comment.
swissme
Broo hii point.......Muwe mnaangalia mko jukwaa gani kwanza kabla ya kumhukumu mtoa mada
si nasikia katika wanne mmoja ni mtambo lazima idadi iongezekekweli Tanzania vichaa wameongezeka no comment.
swissme
Yawezekana huyo ni kada anataka kututoa kwenye tafakuri ya maneno ya Mzee Mwinyi na Mzee Butiku.Tumpuuze.kweli Tanzania vichaa wameongezeka no comment.
swissme