Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
2,000Hivi bei ya kilo ya nyanya kwa sasa ni shilingi ngapi?
mkuu we kitabu hiki hujasoma eeh?Akili zako unazijua wewe mwenyewe
Ule utafiti kumbe walikuwa sahihi!!
kumbe na wewe umesoma??Moyo umenipasuka we acha tu....
Mpaka miguu imelegea.
kwani kuna tatizo?Nyang"au gani huyu mbona unakosa adabu hivyo,angalieni sana vitu manvyo andika kwa mtandao.blad fuu ww
Habari za fb hizi...Joti alikuwa ni kijana mcheshi,mstaarabu,tabia yake ilibadilika na kuanza mambo ya ajabu .
kifo chake kimenihuzunisha sana,kwani sikutegemea kama angeondoka mapema hivi.
..ukimwi umeondoka na kijana huyu.
ukitaka kumjua zaidi soma kitabu cha 'kilio chetu'.Amemuambukiza Suzi ukimwi.
nimehuzunika sana,R I P JOTI.
kama umesoma kitabu hiki unazungumziaje maudhui yake?
vipi kilio chetu hujasoma?Ule utafiti wa watu wanne naanza kuukubali
Yaaan sio shenzi tu bali ni sheeenzi typeShenzi wewe🙁
duh kwani ugomvi miss chagga ??Dole la kati linakuhusu