Rest in Peace Mkuu. Kwa kweli hili ni tatizo kubwa sana na linahitaji ufumbuzi. Bado sijaona jinsi gani hili tatizo linaweza kupatiwa ufumbuzi. nafikiri itakuwa juu ya individuail member mwenyewe kama anataka kutumia username au jina kamili. Labda wakati wakati wa kujisajili members wajulishwe faida na hasara za kutumia usernames au majina kamili? Ni suala gumu kwa kweli.
Kama alivyosema dada Regia hapo juu kama mtu wa karibu akijua ID yako, itasaidia kwa kiasi fulani. Lakini still hili linategemea unamtrust vipi huyo mtu. Na jinsi sie wanadamu tunavyobadilika kama upepo, unaweza ukamtrust mtu leo, kesho kutwa anakugeuka. But we still need to think how to overcome this problem.