R.I.P Side Boy Mnyamwezi

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,229
Reaction score
610
Muimbaji wa muziki wa Bongo Fleva, Said Salim, aliyekuwa akitumia jina la kisanii la Side Boy Mnyamwezi amefariki dunia.

Taarifa kutoka mkoani Lindi zinasema Side Boy amekufa leo Septemba 29, 2014 katika Hospitali ya Nyangao iliyopo mkoani humo.

Marehemu aliwahi kutoa nyimbo kadhaa zikiwemo ‘Hujafa Hujaumbika', ‘Usidharau Usiyemjua' na ‘Kua Uyaone.'

Hadi sasa bado haijafahamika kuwa alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani, mwenye taarifa zaidi atujuze…..tafadhali.
 

Attachments

  • SIDE.jpg
    15 KB · Views: 8,364
RIP.

One bright morning when my work is over,Man will fly away home.


 



RIP Side boy Mnyamwezi tutakukumbuka kwa nyimbo zako nzuri ilizoja mafunzo umeondoka bado kijana mdogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…