R. Kelly ahukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa uhalifu wa Kingono
Nyota wa muziki wa RnB toka nchini Marekani, R. Kelly atatumikia kifungo cha mwaka mmoja zaidi kwa mashtaka yanayohusiana na picha zisizofaa za watoto na unyanyasaji wa kingono baada ya kumaliza kifungo chake cha miaka 30 cha ulaghai alichohukumiwa hapo mwanzo.
Mwimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Robert Sylvester Kelly, amekumiwa kifungo cha miaka 20 jela jana Alhamisi lakini atatumikia takriban hukumu zote kwa wakati mmoja pamoja na kifungo alichopata mwaka wa 2022.

R KELLY AHUKUMIWA JELA MIAKA 20.jpg
 
Michael Jackson alikimbilia hadi uhamishoni Brunei,lakini bado walimpata, Whitney Houston wakamtegea,ugomvi wa B.I.G na 2pac,Bob Marley,Nipsey Hustle baada ya kuanza kuandika documentary ya kifo cha Dr SEBI wakapita naye....Neo slavery...
Hata Magu wamepita nae wahuni kweli hao viumbe, lakini hawawezi kufanikiwa bila ya kumuhusisha black mwenzetu.
 
Kells kama Kells....

It's the remix to ignition
Hot and fresh out the kitchen
Mama rolling that body
Got every man in here wishing
Sipping on coke and rum
I'm like so what I'm drunk
It's the freaking weekend, baby
I'm about to have me some fun

Huyu mwamba ni king wa RNB hands down!
 
Hata Magu wamepita nae wahuni kweli hao viumbe, lakini hawawezi kufanikiwa bila ya kumuhusisha black mwenzetu.

Mkuu kwa huyu jamaa ebu fuatilia vizuri ,hawa blacks huwa wana viushamba flani hivi wakishika pesa!! Hivi unajua kwamba Rkelly alikuwa anamtafuna Aaliyah akiwa na miaka 13? Uoni kwamba jamaa alikuwa anapenda dogodogo? Mbona kina Camron ,Jay Z , Shark Oneil ,Tyler Perry hawajakuwa convicted na kesi za ubakaji?
 
Ukishakua kwenye industry yao usipofanya wanavyotaka unaeza jikuta pabaya au ukawa na mwisho mbaya sana.
 
Michael Jackson

R Kelly

Jay Z. And Nas Moja kati my wasaani wangu naowakubali sana.

My dedications kwa RKelly
1. Storm Is Over.
2. I believe I can fly.
3. World the greatest.
 
Back
Top Bottom