Fiesta Fiesta Fiestaaa... fet Jay Z

Mzee wa "My Mind tell me Nooo!! But My Body, My Body, tell me Yeeeah!!
Hatari sana huyu Mwamba alikuwa
I believe I can fly....
 
Foxy yeye mwenyewe alisema 🙂
Jay ni mzee totoz mbichi, B analalama daily
ni vile hajanasa kwenye tundu bovu

Tofauti ya Jay z na Rkelly ni kwamba Rkelly alimuoa kabisa Aaliyah na ikawa wazi ila ya Foxy hakuna ushahidi wa moja kwa moja.
 
Play boy si alikuwa anafanya nao kazi kwenye magazine yake? Si alioa Mademu wakubwa wakubwa tu? Jay z mbona hafungwi au Tyler Perry?
Kwani na wao ni wabakaji au wanyanyasaji wa kingono ?
 
Tofauti ya Jay z na Rkelly ni kwamba Rkelly alimuoa kabisa Aaliyah na ikawa wazi ila ya Foxy hakuna ushahidi wa moja kwa moja.
unamtetea Jay Z au, nasema ni vile hakunasa kwenye tundu ,
Nelly na Trey Songz tayari wako kwenye foleni, makaburi yashafukuliwa
wawezakuta Jay ni swala la mda,
kiasili hao weusi huko ni viboro dinda, rejea under-age sex scandals za Usher (huyu anasambaza mpaka Herpes Sugu), Akon,
 
Kwani na wao ni wabakaji au wanyanyasaji wa kingono ?

Wanasema kwamba blacks wakiwa na mafanikio wazungu wanawapa kesi za kusingiziwa ili wawadrop ndiyo maana nikauliza mbona Tyler au Jay z hawasingiziwi? Kuna kina 50 cent ,Diddy wote blcks na wana mikwanja siyo ya kitoto lakini hawasingiziwi.
 
Mimi nakataa hoja wanayosema kwamba Blacks huwa wanaonewa na wazungu na wanasingiziwa kesi za ubakaji na udhalilishaji wa kingono lakini ukiangalia hao wanaosemwa wanasingiziwa ni kweli wanatabia za kupenda dogodogo eg Rkelly ni Mbakaji Live.
 
R.Kelly kamla Aaliyah na mama yake pia hata ile porn yake nimeiona akimkojolea yule dogo. Lakini haya mambo kama upo kwa mganga anataka kafara za ndugu mwisho anataka kafara ya muhusika kisa kakosea masharti.
 
R.Kelly kamla Aaliyah na mama yake pia hata ile porn yake nimeiona akimkojolea yule dogo. Lakini haya mambo kama upo kwa mganga anataka kafara za ndugu mwisho anataka kafara ya muhusika kisa kakosea masharti.

Hapo sawa kwa Rkelly anastahili kifungo ,hajaonewa kabisa.
 
Hapo sawa kwa Rkelly anastahili kifungo ,hajaonewa kabisa.
Sasa King Kong nyimbo za minyaduano atatoa nani na huyu mwamba alikuwa on top of that. Kitu kama cha:-
Seems like you ready au Can you handle it🤣🤣
 

Amebanwa mbavu kila kona kama Sabaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…