R Kelly akiri kushiriki Ngono na Msanii mwenzake Marehemu Aaliyah akiwa na umri wa Utoto

R Kelly akiri kushiriki Ngono na Msanii mwenzake Marehemu Aaliyah akiwa na umri wa Utoto

Kabint kalikuwa kateketeke una chinja unakaweka juani kidogo kisha unakachoma. Kalikuwa kazuri aidha uushinde ukubwa au ukubwa ukushinde hapa wanamume wengi tunapofeli kukabidhi MPINI ndio utoe maamuzi badala ya kichwa
 
Ni fakhari na heshma kuwa na MPINI unaofanya kazI barabara ila ni heshma zaidi kukaa nao vizuri
 
Huyo Aaliyah wa kiume au kike
mwanamke mkuu alikuwa ni staa mkubwa wa music na movie ana hit song yake inaitwa try again na ameigiza movie na dmx na jet lee nazani kama sio craddle to the grave basi ni romeo must die.

images.jpeg-13.jpg
 
Jamaa alitakiwa awe mzungu. Wasingemsumbua kwa kipaji alichonacho. Huwa ni kosa kwa usiye mzungu, kufanya mambo mazuri kuwazidi wao ilhali upo kwao. Ngese sana,
Waafrika tunapenda kujustify makosa ya hawa watu kwa kichaka cha uafrika wake.
Ubaya au uzuri wa Marekani hata kama ulitenda kosa mwaka 1970 linaweza kuja kukujunt leo.
Mbona kuhusu kumuoa Aaliyah ni story ya zamani hadi mwanadada akatoa kibao cha age ain't nothing but a number
 
Jamaa alitakiwa awe mzungu. Wasingemsumbua kwa kipaji alichonacho. Huwa ni kosa kwa usiye mzungu, kufanya mambo mazuri kuwazidi wao ilhali upo kwao. Ngese sana,
Upo sahihi 100%

Iyo ndio inaitwa white supremacy.

R Kelly, OJ Simpson, Billy Cosby, Michael Jackson and the cycle continues.
 
Sisi pia wageni humu hata hatujui
Aaliyah Dana Haughton, known mononymously as Aaliyah, was an American singer, actress, dancer, and model. She has been credited for helping to redefine contemporary R&B, pop and hip hop, earning her the nicknames the "Princess of R&B" and "Queen of Urban Pop". Wikipedia
Born: January 16, 1979, Brooklyn, New York, United States
Died: August 25, 2001, Marsh Harbour, The Bahamas
Date of burial: August 31, 2001
Movies: Romeo Must Die, Queen of the Damned,
1628236017974.png
 
Watu weusi wengi wakishika hela huwa akili zinawaenda mbio. Mi sijawahiona wasanii wazungu au wazungu matajiri wameshika shika hela na kutamba nazo.
Baadaye kiburi cha hizi hela kikibackfire ndio utasikia tunabaguliwa.
kwahiyo kitu kisichofanywa na wazungu ni sahihi kwako.
 
Back
Top Bottom