much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Babako ambaye pia ni mbweha hajara sana maisha,?Ajiue tu kashakula maisha sana huyo MBWEHA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babako ambaye pia ni mbweha hajara sana maisha,?Ajiue tu kashakula maisha sana huyo MBWEHA.
Daaah check mwafrika alivyokuwa na roho mbaya kwa mwafrika mwenzie, ivyo akijiua wewe unapata faida gani kwa mfano twambie kipato chako kitaongezekaje kutokana na R.kelly kujiua Boss aisee nimeamini mwafrika ni mchawi wa mwafrika mwenziyeAjiue tu kashakula maisha sana huyo MBWEHA.
Tulia kesi hii iishe alafu usikie ni nani atafata kwenye kufanyiwa Zengwe !Lakini mbona alikuwa anamtafuna Aaliyah? Alikuwa anatembea na Aaliyah akiwa below 14....Kwahiyo Rkelly kupewa kaesi kama hizo inawezekana ikawa kweli na sio kusingiziwa na wazungu,mbona Lil wayne,Birdman,T.I etc hawajasngiziwa?
Clifford Harris alishikilia bango hii kitu sana asee. Namkubali Sana jamaa.Mtu mweusi USA ananyanyasika sana. Hata marehemu MJ walianza nae hivi hivi, mwisho wakamuu. Wakifanya wao wanalindana.View attachment 1045360
Kanye West tayari hajielewi elewi. Jay Z kwa saiv hawamuwezi. Alijua kula na kipofu yuko rank za mbali saiv. Obama alim coach vizuri.Next target kama sio Jay Z basi kanye west na wenzao maarufu
Kanye kaokoka, Jigga maji marefu!..Next target kama sio Jay Z basi kanye west na wenzao maarufu
Duuuh Babako MBWEHA "KARA" Maisha mkuu.
Rkelly ndio ana Roho mbaya ya kibazazi atatafunaje vitoto vidogo chini ya miaka 14? Wa kwanza kukumbana na hiyo hadha ni Late Aaliyah,Jamaa ni bazazi tu na sio kama anasingiziwa na wazungu,miafrika ikipata fedha inafanya mambo ya ajabu sana!Daaah check mwafrika alivyokuwa na roho mbaya kwa mwafrika mwenzie, ivyo akijiua wewe unapata faida gani kwa mfano twambie kipato chako kitaongezekaje kutokana na R.kelly kujiua Boss aisee nimeamini mwafrika ni mchawi wa mwafrika mwenziye
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo midemu yote ilijipeleka ikaliwa, leo hii yanajikuta manungayembe mshkaji ndo kwanza anaokoka yanafufuka.yalikua wapi?Propaganda za wazungu kummaliza mshkaji,,
Long live R Kelly and I believe you can fly,,
Next target kama sio Jay Z basi kanye west na wenzao maarufu
Lakini mbona alikuwa anamtafuna Aaliyah? Alikuwa anatembea na Aaliyah akiwa below 14....Kwahiyo Rkelly kupewa kaesi kama hizo inawezekana ikawa kweli na sio kusingiziwa na wazungu,mbona Lil wayne,Birdman,T.I etc hawajasngiziwa?
Kanye West tayari hajielewi elewi. Jay Z kwa saiv hawamuwezi. Alijua kula na kipofu yuko rank za mbali saiv. Obama alim coach vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakimdhalilisha Jay Z ni sawa na kujidhalilisha wenyewe. Hata akifa tayari ni Mtu mkubwa sana kwenye familia na ana vyeo vikubwa vya kutosha.Kwa sasa hawamuwezi ila kwa baadae huwezi jua. Cheki MJ kasubiriwa afe wafufue zaidi
Mi najiuliza hao mademu hela ya kukaa trump tower wameitolea wapi? Maana hpo trump tower naskia mamilionea tu ndyo wanaweza kuafford....hpa kuna kitu nyuma ya pazia sio bureNimeanza kuona ni namna gani sasa huyu jamaa anatengenezewa shimo la kufikiwa na watu weupe, na hawa ndiyo wapo nyuma ya hili sakata na dhumuni ni kumuonda r Kelly katika ramani ya dunia, hakuna anaejua ukweli ila siku ya mwisho ukweli utasimama na kujitenga na maovu
Super hero daddy
Vipi walifanikiwa kumshtaki !! PresleyClifford Harris alishikilia bango hii kitu sana asee. Namkubali Sana jamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah wapi..wala hakuna anaefukua makaburi yake. Ndio T.I alikuwa analalamika mbona kuna double standard katika kuwashughulikia hawa pedophiles? Presley ni rangi gani?
Ni Caucasian .._ the way I know .. u-super star ni mzigo wa mwiba " hakuna super star wa masuala ya burudani ambaye ni muadilifu ",Ah wapi..wala hakuna anaefukua makaburi yake. Ndio T.I alikuwa analalamika mbona kuna double standard katika kuwashughulikia hawa pedophiles? Presley ni rangi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, ndio T.I anacholalamika mbona MA star weupe hawafanyiwi figisu? Halafu pia ishu ya bange, wazungu wanauza wazi wazi kwenye majimbo waliyohalalisha ila weusi wakiuza wanakamatwa!Ni Caucasian .._ the way I know .. u-super star ni mzigo wa mwiba " hakuna super star wa masuala ya burudani ambaye ni muadilifu ",
Hao ma-star wote wana makando kando mengi sana ya uchafu mkubwa " Hizo tuhuma anazo zipata R.kelly alizozipata Mj 2pac .Tyson and Co. Zipo sahihi kabisa na wanastahiki kudhughulikiwa kwa sababu wamekwenda against the law
Ila sasa shida ipo hapo kwenye double standard " kwa kwelu hilo halipendezi ..Maovu ya ma star wazungu kugeuzwa keki kisha ya ma-star,weusi kuonekana kuwa ni makosa ni jambo ambalo linastahiki kupingwa vikali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes jamaa hawa wataki watu weusi ..kuleKabisa, ndio T.I anacholalamika mbona MA star weupe hawafanyiwi figisu? Halafu pia ishu ya bange, wazungu wanauza wazi wazi kwenye majimbo waliyohalalisha ila weusi wakiuza wanakamatwa!
Sent using Jamii Forums mobile app