Huyo ndo mzunguPrince, Michael Jackson, bob Marley nk hawa walitengenezewa mfumo wa kuwaondoa kwa kweli rangi nyeusi tunanyanyaswa sana pasipo kupata haki
Super hero daddy
Bro huo uchafu wa kutembea na vitoto wazungu maarufu kibao wa rock and jazz wanaufanya lakini wanakaushiwa, kuna picha nimeiweka ya mwanamuziki mzungu anakiss na vitoto, lakini hutasikia. MJ nae walimzushia haya. Unadhani kwanini sasa hv ndo wamzingue Kelly?
Kweli aisehh kuna mdhamini nyuma ya pazia,Mi najiuliza hao mademu hela ya kukaa trump tower wameitolea wapi? Maana hpo trump tower naskia mamilionea tu ndyo wanaweza kuafford....hpa kuna kitu nyuma ya pazia sio bure
Sent using Jamii Forums mobile app
R kelly akiwa analia kwenye hiyo clip anasikika akisema kwa majonzi "they said they will destroy my career"Mi najiuliza hao mademu hela ya kukaa trump tower wameitolea wapi? Maana hpo trump tower naskia mamilionea tu ndyo wanaweza kuafford....hpa kuna kitu nyuma ya pazia sio bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaua bendi king KongLakini mbona alikuwa anamtafuna Aaliyah? Alikuwa anatembea na Aaliyah akiwa below 14....Kwahiyo Rkelly kupewa kaesi kama hizo inawezekana ikawa kweli na sio kusingiziwa na wazungu,mbona Lil wayne,Birdman,T.I etc hawajasngiziwa?
Huyu mwamba hizi mambo hasingiziwi ndo tabia yake manina sanaHasira tu mkuu,tabia mbaya sana ya kutafuna watoto under 14 kwa mtu mzima wakati mabinti wa 22s and above wapo wa kukinga.
Una nyanyaswa kwa lipi? Unaweza fafanua? WEUSI TUNA TABIA MBAYA MBAYA SANA ANGALIA HATA KWENYE MOVIES WEUSI TABIA ZAO?Prince, Michael Jackson, bob Marley nk hawa walitengenezewa mfumo wa kuwaondoa kwa kweli rangi nyeusi tunanyanyaswa sana pasipo kupata haki
Super hero daddy